implicit memory
JF-Expert Member
- Nov 14, 2024
- 2,109
- 2,155
Sasa hoja yako ni ipi,,kama sivyo we twambie uzao wake ni upi na wapi umeanzia?!, Na hivyo ujuavyo inakusaidiaje??.Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,
Shukrani kwa Teknolojia ,kila kitu kinazidi kuwekwa wazi, moja ya propaganda ya Uislamu iliyomezeshwa kwa wengi Hadi wakristo wengine wanaamini ni hii ya kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael,
Je, Mtume Muhammad ni mzao wa Ismail?
Kuna imani maarufu miongoni mwa Waislamu kuwa Mtume Muhammad ﷺ ni mzao wa Ismail bin Ibrahim, kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa kihistoria na wa hadith unaonyesha kuwa Mtume mwenyewe hakuwahi kuthibitisha uhusiano huo wa nasaba, na badala yake alionyesha tahadhari kubwa juu ya madai hayo.
Mtume Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema:
Kauli hii inaonyesha wazi kuwa Mtume alikataa kujihusisha na madai ya ukoo unaopita Adnan, akiwaita waongo wale wanaodai kufahamu nasaba hiyo hadi Ismail.
Leo waislamu wametengeneza Hadi family tree za uongo nyingi zinazoonesha kuanzia ibrahimu Hadi Muhammad,
Hii ni kauli nzito inayobomoa msingi wa dai la moja kwa moja la ukoo wa Ismail hadi kwa Muhammad.
Wanazuoni wa zamani pia walikuwa waangalifu juu ya suala hili. Imam Malik, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa fiqh wa Madina, alinukuliwa akisema:
Hii inaonesha kuwa hata katika karne za mwanzo za Uislamu, hoja ya ukoo wa Muhammad hadi kwa Ismail haikuchukuliwa kwa uzito wa kihistoria bali ilikuwa dhana ya kiimani.
Wanahistoria wa Kiislamu kama Ibn Khaldun pia walisisitiza tahadhari. Ibn Khaldun aliandika:
Wengine kama Ibn Sa'd waliorodhesha nasaba ya Mtume kwa tahadhari kubwa hadi Adnan tu, na walipoelekezwa kuuliza zaidi, walikataa:
Kwa hivyo, tunaona wazi kuwa tofauti na madai ya kisasa, Mtume mwenyewe hakutumia hadhi ya kizazi cha Ismail kama uthibitisho wa utume wake, bali alitegemea wahyi alipowe kule mapangoni na kumbe cha ajabu ,na kubashiriwa utume na Padre Waraq na bi Khadija kama msingi wa mamlaka yake ya kiroho.
Ikumbukwe pia kuwa Qur’an haijawahi kutamka moja kwa moja kuwa Muhammad ni mzao wa Ismail. Badala yake, Qur’an imemueleza Muhammad kama Nabii wa mwisho, mjumbe kwa Waarabu, na rehema kwa walimwengu wote, bila kulazimisha kuhusiana kwa nasaba na Ibrahim au Ismail.(Fundisho la kuwa Muhammad ni uzao wa Ishamael ni wahuni wachache walikaa wakabuni ili dini ya Uislamu ikubalike ,na kwakweli hii propaganda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa)
Tafakuri ya kina inaonyesha kuwa dhana ya Muhammad kutoka kwa Ismail ilijengwa baadaye ili kuwapa Waarabu msingi wa kihistoria katika dini mpya. Hili lilikuwa jambo la kisiasa pia kuonyesha kuwa Waarabu nao wana nafasi katika urithi wa Ibrahim, ambaye Wayahudi na Wakristo walimdai kama wa kwao.
Katika muktadha huo, hoja ya ukoo ikawa si suala la ukweli wa kihistoria, bali silaha ya kisiasa na kimbilio la utambulisho wa kikabila. Kwa sababu hiyo, Mtume akawa makini asikubali kubebwa na maelezo ya kihistoria yasiyo na msingi wa hakika.
Kwa hiyo, msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kifalme wa kinabii, bali juu ya wahyi wa kiume cha ajabu kule mapangoni,Waraq na bi Khadija Na kama Mtume mwenyewe hakujigamba kwa ukoo wala kutaja Ismail, basi hatuna sababu ya kuendeleza hizi propaganda kama hoja ya msingi katika imani.
Nimekuwa nikiona wakristo wengi wakibebwa na huu UPOTOSHAJI ,ukweli ni kwamba Ishamael sio baba wa waarabu kama propaganda zinavyosema ,na kumezeshwa ,
Ukweli huu unapaswa kufungua milango ya tafakuri mpya kwa Waislamu wa sasa,ambao wamekuwa wakimezeshwa uongo
TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU
Wameuliwa wakristo wangapi Saudia? Weka na data hapa.Acha uongo, kwanini Saudia Arabia au nchi nyingi za kiislamu ,wakristo wanauliwa,nchi nyingine hawaruhusu hata kujenga kanisa ,wala kuuza biblia
Aiseee.Uislamu ni dini ILIYOJENGWA Kwa propaganda kubwa sana, kila fundisho kwenye uislamu msingi wake ni propaganda yenye kujinasibisha na kizazi cha Uyahudi na manabii wake ,
Shukrani kwa Teknolojia ,kila kitu kinazidi kuwekwa wazi, moja ya propaganda ya Uislamu iliyomezeshwa kwa wengi Hadi wakristo wengine wanaamini ni hii ya kusema Muhammad ni uzao wa Ishmael,
Je, Mtume Muhammad ni mzao wa Ismail?
Kuna imani maarufu miongoni mwa Waislamu kuwa Mtume Muhammad ﷺ ni mzao wa Ismail bin Ibrahim, kupitia kizazi cha Adnan. Hata hivyo, ushahidi wa kihistoria na wa hadith unaonyesha kuwa Mtume mwenyewe hakuwahi kuthibitisha uhusiano huo wa nasaba, na badala yake alionyesha tahadhari kubwa juu ya madai hayo.
Mtume Muhammad ﷺ alinukuliwa akisema:
Kauli hii inaonyesha wazi kuwa Mtume alikataa kujihusisha na madai ya ukoo unaopita Adnan, akiwaita waongo wale wanaodai kufahamu nasaba hiyo hadi Ismail.
Leo waislamu wametengeneza Hadi family tree za uongo nyingi zinazoonesha kuanzia ibrahimu Hadi Muhammad,
Hii ni kauli nzito inayobomoa msingi wa dai la moja kwa moja la ukoo wa Ismail hadi kwa Muhammad.
Wanazuoni wa zamani pia walikuwa waangalifu juu ya suala hili. Imam Malik, mmoja wa wanazuoni wakubwa wa fiqh wa Madina, alinukuliwa akisema:
Hii inaonesha kuwa hata katika karne za mwanzo za Uislamu, hoja ya ukoo wa Muhammad hadi kwa Ismail haikuchukuliwa kwa uzito wa kihistoria bali ilikuwa dhana ya kiimani.
Wanahistoria wa Kiislamu kama Ibn Khaldun pia walisisitiza tahadhari. Ibn Khaldun aliandika:
Wengine kama Ibn Sa'd waliorodhesha nasaba ya Mtume kwa tahadhari kubwa hadi Adnan tu, na walipoelekezwa kuuliza zaidi, walikataa:
Kwa hivyo, tunaona wazi kuwa tofauti na madai ya kisasa, Mtume mwenyewe hakutumia hadhi ya kizazi cha Ismail kama uthibitisho wa utume wake, bali alitegemea wahyi alipowe kule mapangoni na kumbe cha ajabu ,na kubashiriwa utume na Padre Waraq na bi Khadija kama msingi wa mamlaka yake ya kiroho.
Ikumbukwe pia kuwa Qur’an haijawahi kutamka moja kwa moja kuwa Muhammad ni mzao wa Ismail. Badala yake, Qur’an imemueleza Muhammad kama Nabii wa mwisho, mjumbe kwa Waarabu, na rehema kwa walimwengu wote, bila kulazimisha kuhusiana kwa nasaba na Ibrahim au Ismail.(Fundisho la kuwa Muhammad ni uzao wa Ishamael ni wahuni wachache walikaa wakabuni ili dini ya Uislamu ikubalike ,na kwakweli hii propaganda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa)
Tafakuri ya kina inaonyesha kuwa dhana ya Muhammad kutoka kwa Ismail ilijengwa baadaye ili kuwapa Waarabu msingi wa kihistoria katika dini mpya. Hili lilikuwa jambo la kisiasa pia kuonyesha kuwa Waarabu nao wana nafasi katika urithi wa Ibrahim, ambaye Wayahudi na Wakristo walimdai kama wa kwao.
Katika muktadha huo, hoja ya ukoo ikawa si suala la ukweli wa kihistoria, bali silaha ya kisiasa na kimbilio la utambulisho wa kikabila. Kwa sababu hiyo, Mtume akawa makini asikubali kubebwa na maelezo ya kihistoria yasiyo na msingi wa hakika.
Kwa hiyo, msingi wa utume wa Muhammad haukujengwa juu ya damu au ukoo wa kifalme wa kinabii, bali juu ya wahyi wa kiume cha ajabu kule mapangoni,Waraq na bi Khadija Na kama Mtume mwenyewe hakujigamba kwa ukoo wala kutaja Ismail, basi hatuna sababu ya kuendeleza hizi propaganda kama hoja ya msingi katika imani.
Nimekuwa nikiona wakristo wengi wakibebwa na huu UPOTOSHAJI ,ukweli ni kwamba Ishamael sio baba wa waarabu kama propaganda zinavyosema ,na kumezeshwa ,
Ukweli huu unapaswa kufungua milango ya tafakuri mpya kwa Waislamu wa sasa,ambao wamekuwa wakimezeshwa uongo
TEKNOLOJIA IMEKUJA KUWEKA UCHI UISLAMU
Mojawapo ya hoja za ajabu! Maandiko yanatakiwa kuwa thabiti kijana; yasiyo na shaka yoyote ndani yake.Labda nikuulize swali
Akiwa familia ya Ishmael na asipokuwa familia hiyo inabadilisha nini?
Mbona mtume Mussa amefanya mengi tu na hutujawahi kutumia nguvu kufuatilia uzao wake?
Unavyosema technologia haidanganyi, kwani haujui walioweka hizo data kwenye technologia ni watu? Na kwa taarifa tu, watu wanaweka taarifa kwenye technologia wakikusudia kufikisha ujumbe wanao utaka na ndio sababu mara zote tunawakumbusha kuwa; Hadithi kwenye uislam ziliandikwa takriban miaka 600 baada ya muhamadi na zipo nyingi tu zimeandikwa na wasio waislam kwa lengo la kupotosha na ndio hizo mara nyingi wapotoshaji huzitumia....
Na kuna mstari wao wanapenda sana kuunukuu kutoka Neno la Uzima "na atawainulia nabii wa kufanana naye" wakimaanisha Mudy ndiye huyo nabii wa kufanana na Musa!Unajua lengo la mudi na wapambe wake kujisingizia ni uzao wa Ishmael,lengo hasa ni kujinasibisha na wayahudi ili wakubalike
Kitabu chako hakijitoshelezi? Refer your book acha kudandia vitabu vya wengine!Kuna mkristo yoyote ambaye haujui kuwa Ishmael na vizazi vyake wameishi Saudi Arabia?
Mbona maandiko ya Bibilia na ramani zake zinaonyesha kuwa Ishmael na vizazi vyake waliishi Saudi Arabia
Katika hivi Bibilia vyenu vilivyowekwa misalaba hizi ramani hazipo
Lakini katika Bibilia ya King James version ya 1956 pamoja na Bibilia za mitandaoni hizi ramani zipo
Nimekuomba ushahidi juu huja leta unarudia maneno yale yale, ignore inakuhusu tafuta watoto wenzako mbishane maneno matupu.Acha uongo, kwanini Saudia Arabia au nchi nyingi za kiislamu ,wakristo wanauliwa,nchi nyingine hawaruhusu hata kujenga kanisa ,wala kuuza biblia
Unataka ushahidi gani ? Hii ndio mnadanganya watu ni dini ya haki?Nimekuomba ushahidi juu huja leta unarudia maneno yale yale, ignore inakuhusu tafuta watoto wenzako mbishane maneno matupu.
Makanisa ya wazi ni kuua watu? Hizo ni sheria zao wana regulate Nchi yao, ambayo 99% ni waisilamu.Unataka ushahidi gani ? Hii ndio mnadanganya watu ni dini ya haki?
Saudi Arabia haina makanisa ya wazi ya Kikristo kama ilivyo katika nchi nyingine nyingi. Hii ni kwa sababu dini rasmi ya nchi ni Uislamu, na Sheria ya Kiislamu (Sharia) ndiyo msingi wa sheria zote za nchi. Kwa muda mrefu, kuabudu hadharani kwa dini zisizo za Kiislamu (ikiwemo Ukristo) kumekuwa marufuku.
Hata hivyo, katika miaka ya hivi karibuni, chini ya uongozi wa Mfalme Salman na Mrithi wa Ufalme Mohammed bin Salman (MBS), kumekuwa na dalili za kuanza kulegeza baadhi ya kanuni kali, ikiwa ni pamoja na kuruhusu ibada za faraghani kwa wageni wasio Waislamu, kama vile Wakristo kutoka Ufilipino, India, na nchi nyingine wanaofanya kazi Saudi Arabia.
Kwa hivyo:
Makanisa ya wazi au ya kudumu hayapo rasmi Saudi Arabia.
Ibada za Kikristo hufanyika kwa faragha (private gatherings), hasa katika nyumba binafsi au maeneo ya kificho kwa wageni.
Kuna mazungumzo ya kidiplomasia ya muda mrefu kati ya Saudi Arabia na Vatican kuhusu uwezekano wa kuwa na makanisa kwa ajili ya Wakristo wanaoishi humo, lakini hadi sasa hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa.
Sikusema Saudia Arabia wanaua wakristo, nilisema nchi za kiislamu nyingi wanaua wakristo, na nikasema Saudia wanazuia wakristo kujenga makanisa na kuuza bibliaMakanisa ya wazi ni kuua watu? Hizo ni sheria zao wana regulate Nchi yao, ambayo 99% ni waisilamu.
Nchi zote za kiarabu zenye significant population ya wakristo zina Makanisa ya Wazi.
Unaongelea hivyo hivyo na Nchi za Ulaya zisizo Kubali misikiti ya wazi? Ambazo karibia asilimia 100 sio waisilamu?
Wewe umeclaim Saudia wanaua wakristo huko juu Nimekuomba ushahidi huleti umepiga u Turn ya kufa mtu unaleta Excuse nyengine. Usinipotezee muda hapa.
Hii ndio tunadanganywa dini ya haki???Wewe umeclaim Saudia wanaua wakristo huko juu Nimekuomba ushahidi huleti umepiga u Turn ya kufa mtu unaleta Excuse nyengine. Usinipotezee muda hapa.
— Yasaman, muumini wa siri nchini Afghanistan"Baadhi ya watu walihisi shaka kuhusu shughuli za Kikristo za mume wangu. Asubuhi moja, alipokuwa akienda kununua mkate, watu wawili walimfuata. Alishambuliwa na kuuawa karibu na nyumba yetu."
— Nala, Mkristo kutoka Somalia"Niliporudi nyumbani, wanaume wa familia yangu walikuwa wakinisubiri. Walinipiga, wakachukua simu yangu ya mkononi na kunifungia ndani ya chumba."
— Rashid, Mkristo nchini Pakistan"Tuko katika vita vya kiroho... Hivyo tutakuwa Kristo – hata kwa maadui zetu. Tutaonyesha kwamba imani yetu ni yenye nguvu kuliko chuki yao."
— Mkristo wa Saudi Arabia"Siwezi kumwambia mke wangu. Wala watoto wangu. Wala wazazi wangu. Nilimwona Kristo katika ndoto, na ni Yeye tu anayejua kuwa namfuata. Lakini lazima nifanye hivyo, au nitakufa."
Huyu alioandika hivi sio wewe?Sikusema Saudia Arabia wanaua wakristo, nilisema nchi za kiislamu nyingi wanaua wakristo, na nikasema Saudia wanazuia wakristo kujenga makanisa na kuuza biblia
Hiyo % kubwa ni waislamu ni sababu ya wakristo kunyimwa uhuru wa dini kama nchi za kikristo
Halafu mnadanganya watu hiyo ni dini ya haki
Baadhi ya nchi zinazoripotiwa na mashirika ya haki za binadamu (kama Open Doors na Amnesty International) kuwa na ukandamizaji dhidi ya Wakristo ni pamoja na:
1. Afghanistan – Wakristo hukumbwa na hatari kubwa, hasa wale waliogeuka kutoka Uislamu.
2. Somalia – Ukristo haukubaliki, na waumini huishi kwa siri kabisa.
3. Iran – Watu wanaogeuka kutoka Uislamu kwenda Ukristo huteswa au kutiwa gerezani.
4. Saudi Arabia – Makanisa hayaruhusiwi, na hakuna uhuru wa kuabudu hadharani.
5. Pakistan – Licha ya kuwa na Wakristo wengi, sheria ya kukufuru hutumika vibaya dhidi yao.
6. Yemen – Wakristo wa ndani hukumbwa na mateso na vifo.
7. Libya – Kutokuwa na serikali imara kunafanya Wakristo waishie matesoni au kuuawa.
Huyu alioandika hivi sio wewe?
View attachment 3327948
Umesema Saudia wanauliwa halafu ukasema Nchi Nyengine hawaruhusiwi kujenga kanisa, nikakuomba ushahidi ukaanza kupiga Uturn.
Pia Huwezi tumia Nchi zenye Vita kama ushahidi wako.
Nchi ya kiisilamu ina Amani vizuri na wanaishi vizuri Waisilamu na wakristo anakuja Mume wenu Usa anaharibu Amani, Anapandikiza Makundi yake feki anasponsor ugaidi wakristo wakianza Kuuliwa mnaanza kupiga kelele. Kama mnataka Muuaji mkubwa Wa Wakristo Ni Marekani na Israel.
1. Why unakimbilia Nchi zenye Vita? Toa Nchi zote Zenye vitaTuangalie nchi 10 zenye itakadi ya Uislamu,je zinatimiza haki kwa WASIO Waislamu ili tujue je Uislamu ni dini ya haki na unyenyekevu kama tunavyoambiwa na kuambiwa tujiunge na hii dini
Tuanze na
1. Afghanistan
Tangu Taliban walipochukua madaraka mwaka 2021, Wakristo wamekuwa wakilengwa vikali. Iwapo mtu atagundulika kuwa Mkristo, hukumu inaweza kuwa kifo.
Ushuhuda:
"Baadhi ya watu walihisi shaka kuhusu shughuli za Kikristo za mume wangu. Asubuhi moja, alipokuwa akienda kununua mkate, watu wawili walimfuata. Alishambuliwa na kuuawa karibu na nyumba yetu."
— Yasaman, muumini wa siri nchini Afghanistan
Chanzo: Ripoti ya shirika la Open Doors, 2022.
2. Somalia
Wakristo nchini Somalia, hasa waliogeuka kutoka Uislamu, hukumbwa na hatari kubwa kutoka kwa wanamgambo wa kiislamu kama Al-Shabaab. Wakigundulika, wanaweza kuuawa papo hapo na hata kufichwa na familia zao wenyewe.
Ushuhuda:
"Niliporudi nyumbani, wanaume wa familia yangu walikuwa wakinisubiri. Walinipiga, wakachukua simu yangu ya mkononi na kunifungia ndani ya chumba."
— Nala, Mkristo kutoka Somalia
Chanzo: Ripoti ya Open Doors World Watch List, 2022.
3. Pakistan
Sheria za kukufuru nchini Pakistan zinatumiwa vibaya dhidi ya Wakristo. Mara nyingi Wakristo hushtakiwa bila ushahidi wa kutosha, na wengine hutiwa gerezani au kuuawa.
Ushuhuda:
"Tuko katika vita vya kiroho... Hivyo tutakuwa Kristo – hata kwa maadui zetu. Tutaonyesha kwamba imani yetu ni yenye nguvu kuliko chuki yao."
— Rashid, Mkristo nchini Pakistan
Chanzo: Open Doors, taarifa ya mateso ya Wakristo nchini Pakistan.
4. Saudi Arabia
Kuacha Uislamu na kuwa Mkristo nchini Saudi Arabia ni kosa linaloadhibiwa kwa kifo. Wakristo huishi kwa siri na tahadhari kubwa.
Ushuhuda:
"Siwezi kumwambia mke wangu. Wala watoto wangu. Wala wazazi wangu. Nilimwona Kristo katika ndoto, na ni Yeye tu anayejua kuwa namfuata. Lakini lazima nifanye hivyo, au nitakufa."
— Mkristo wa Saudi Arabia
Chanzo: Ripoti ya Open Doors kuhusu nchi 10 hatari zaidi kwa Wakristo, 2023.
5. Iran
Wakristo waliogeuka kutoka Uislamu nchini Iran huwekwa gerezani, huteswa, au hata kuhukumiwa kifo. Mchungaji Youcef Nadarkhani ni mmoja wa waliokumbwa na adhabu hiyo.
Chanzo: Ripoti ya Amnesty International, 2021.
6. Libya
Wakristo nchini Libya, hasa wahamiaji kutoka nchi nyingine, hukumbwa na utekaji, mateso, na hata kuuawa na makundi ya kigaidi kama ISIS.
Ushuhuda:
"Wakristo 21 wa Koptiki kutoka Misri walitekwa na kuchinjwa kwenye pwani ya Libya na wapiganaji wa ISIS, kwa kosa la kutangaza imani ya Kikristo."
— Ripoti ya CNN kupitia shirika la habari la Misri, 2015
Chanzo: Habari za kimataifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari kama CNN na BBC.
7. Yemen
Yemen inaongoza kwa mateso dhidi ya Wakristo wa siri. Wakristo wachache waliobaki hulazimika kuabudu kwa siri. Wakigundulika, huadhibiwa na hata kuuawa.
Ushuhuda:
"Baba wa Kikristo aliyekuwa ameacha Uislamu alipigwa hadi kufa na ndugu zake, baada ya kugundua kwamba alikuwa akihudhuria ibada ya siri."
— Ripoti ya Open Doors, 2020
Chanzo: Open Doors World Watch List.
8. Sudan
Ingawa Sudan imefanya mageuzi ya kisheria hivi karibuni, Wakristo bado wanakumbwa na unyanyasaji wa kijamii na kimahakama. Makanisa hufungwa, na viongozi wa Kikristo hutiwa mbaroni.
Ushuhuda:
"Nilifungwa kwa siku 40 kwa kosa la kuwa na Biblia ndani ya nyumba yangu."
— Mkristo mmoja kutoka Khartoum
Chanzo: Christian Solidarity Worldwide (CSW), 2021.
9. Maldives
Wakristo katika Maldives hukumbwa na adhabu kali ikiwa wataonekana kushiriki ibada za Kikristo au kusambaza maandiko ya Kikristo. Imani ya Kikristo si ruhusa hadharani.
Ushuhuda:
"Nilipojaribu kusoma Biblia yangu hotelini, mfanyakazi mmoja aliniambia kuwa ni marufuku. Nilihojiwa na maafisa wa usalama."
— Mtalii Mkristo, Maldives
Chanzo: Ripoti ya International Christian Concern (ICC), 2020.
10. Algeria
Serikali ya Algeria imekuwa ikifunga makanisa ya Kiprotestanti na kuwatia mbaroni wachungaji na waumini wanaoshiriki ibada zisizo na kibali rasmi.
Ushuhuda:
"Kanisa letu limefungwa na mamlaka bila sababu halali. Sasa tunaabudu mafichoni."
— Kiongozi wa Kikristo kutoka Tizi Ouzou
Chanzo: Amnesty International na Human Rights Watch, 2021.
Ulitamba hakuna ushahidi,nimekupa ushahidi ukadai MAREKANI ndio anawachochea ,n.k ,huoni kwamba ni ujinga wenu ?1. Why unakimbilia Nchi zenye Vita? Toa Nchi zote Zenye vita
2. Algeria umesema inafungia Makanisa ya siyo na Vibali how is that a bad thing? Ama unahisi Makanisa ama Misikiti ikitapakaa kila sehemu ndio Uhuru? Sehemu za Kuabudiwa ni lazima Ziwe na Vibali maalum
3. Ushuhuda wa mtu mmoja mmoja siku zote unaweza kuwa forged na hautumiki popote pale kupima Nchi inafanya ama haifanyi kitu gani, nimekuwekea Juu Reports za Cia ambazo kwa mrengo wako ni more credible zaidi.
4. Hio Pakistani karibia Viongozi wote wa Juu Majenerali na Mabrigedia ni wakristo, ingekua na huo Ubaguzi mnaosema nyie why wakristo wapewe hivyo vyeo vikubwa?
mtu Akishambuliwa mtaani basi ni a collective punishment kwa Waisilamu wote na majina machafu machafu wanaitwa.
Hongera Umejishindia Ignore nzuri tu, ungana na wenzako kwenye list.Ulitamba hakuna ushahidi,nimekupa ushahidi ukadai MAREKANI ndio anawachochea ,n.k ,huoni kwamba ni ujinga wenu ?
Haijatosha umekuja Tena na ngonjera kuwa ni nchi zenye vita .😂😂
Hizi ni nchi za kiislamu zote ,ushajiuliza kwanini Zina vita ? Na zinadai zinaongozwa kwa Sharia law na Quran ,
Naweka Tena ushahidi wa nchi hizi Tena ushahidi wakujitosheleza
Tuanze na
1. Afghanistan
Tangu Taliban walipochukua madaraka mwaka 2021, Wakristo wamekuwa wakilengwa vikali. Iwapo mtu atagundulika kuwa Mkristo, hukumu inaweza kuwa kifo.
Ushuhuda:
"Baadhi ya watu walihisi shaka kuhusu shughuli za Kikristo za mume wangu. Asubuhi moja, alipokuwa akienda kununua mkate, watu wawili walimfuata. Alishambuliwa na kuuawa karibu na nyumba yetu."
— Yasaman, muumini wa siri nchini Afghanistan
Chanzo: Ripoti ya shirika la Open Doors, 2022.
2. Somalia
Wakristo nchini Somalia, hasa waliogeuka kutoka Uislamu, hukumbwa na hatari kubwa kutoka kwa wanamgambo wa kiislamu kama Al-Shabaab. Wakigundulika, wanaweza kuuawa papo hapo na hata kufichwa na familia zao wenyewe.
Ushuhuda:
"Niliporudi nyumbani, wanaume wa familia yangu walikuwa wakinisubiri. Walinipiga, wakachukua simu yangu ya mkononi na kunifungia ndani ya chumba."
— Nala, Mkristo kutoka Somalia
Chanzo: Ripoti ya Open Doors World Watch List, 2022.
3. Pakistan
Sheria za kukufuru nchini Pakistan zinatumiwa vibaya dhidi ya Wakristo. Mara nyingi Wakristo hushtakiwa bila ushahidi wa kutosha, na wengine hutiwa gerezani au kuuawa.
Ushuhuda:
"Tuko katika vita vya kiroho... Hivyo tutakuwa Kristo – hata kwa maadui zetu. Tutaonyesha kwamba imani yetu ni yenye nguvu kuliko chuki yao."
— Rashid, Mkristo nchini Pakistan
Chanzo: Open Doors, taarifa ya mateso ya Wakristo nchini Pakistan.
4. Saudi Arabia
Kuacha Uislamu na kuwa Mkristo nchini Saudi Arabia ni kosa linaloadhibiwa kwa kifo. Wakristo huishi kwa siri na tahadhari kubwa.
Ushuhuda:
"Siwezi kumwambia mke wangu. Wala watoto wangu. Wala wazazi wangu. Nilimwona Kristo katika ndoto, na ni Yeye tu anayejua kuwa namfuata. Lakini lazima nifanye hivyo, au nitakufa."
— Mkristo wa Saudi Arabia
Chanzo: Ripoti ya Open Doors kuhusu nchi 10 hatari zaidi kwa Wakristo, 2023.
5. Iran
Wakristo waliogeuka kutoka Uislamu nchini Iran huwekwa gerezani, huteswa, au hata kuhukumiwa kifo. Mchungaji Youcef Nadarkhani ni mmoja wa waliokumbwa na adhabu hiyo.
Chanzo: Ripoti ya Amnesty International, 2021.
6. Libya
Wakristo nchini Libya, hasa wahamiaji kutoka nchi nyingine, hukumbwa na utekaji, mateso, na hata kuuawa na makundi ya kigaidi kama ISIS.
Ushuhuda:
"Wakristo 21 wa Koptiki kutoka Misri walitekwa na kuchinjwa kwenye pwani ya Libya na wapiganaji wa ISIS, kwa kosa la kutangaza imani ya Kikristo."
— Ripoti ya CNN kupitia shirika la habari la Misri, 2015
Chanzo: Habari za kimataifa zilizoripotiwa na vyombo vya habari kama CNN na BBC.
7. Yemen
Yemen inaongoza kwa mateso dhidi ya Wakristo wa siri. Wakristo wachache waliobaki hulazimika kuabudu kwa siri. Wakigundulika, huadhibiwa na hata kuuawa.
Ushuhuda:
"Baba wa Kikristo aliyekuwa ameacha Uislamu alipigwa hadi kufa na ndugu zake, baada ya kugundua kwamba alikuwa akihudhuria ibada ya siri."
— Ripoti ya Open Doors, 2020
Chanzo: Open Doors World Watch List.
8. Sudan
Ingawa Sudan imefanya mageuzi ya kisheria hivi karibuni, Wakristo bado wanakumbwa na unyanyasaji wa kijamii na kimahakama. Makanisa hufungwa, na viongozi wa Kikristo hutiwa mbaroni.
Ushuhuda:
"Nilifungwa kwa siku 40 kwa kosa la kuwa na Biblia ndani ya nyumba yangu."
— Mkristo mmoja kutoka Khartoum
Chanzo: Christian Solidarity Worldwide (CSW), 2021.
9. Maldives
Wakristo katika Maldives hukumbwa na adhabu kali ikiwa wataonekana kushiriki ibada za Kikristo au kusambaza maandiko ya Kikristo. Imani ya Kikristo si ruhusa hadharani.
Ushuhuda:
"Nilipojaribu kusoma Biblia yangu hotelini, mfanyakazi mmoja aliniambia kuwa ni marufuku. Nilihojiwa na maafisa wa usalama."
— Mtalii Mkristo, Maldives
Chanzo: Ripoti ya International Christian Concern (ICC), 2020.
10. Algeria
Serikali ya Algeria imekuwa ikifunga makanisa ya Kiprotestanti na kuwatia mbaroni wachungaji na waumini wanaoshiriki ibada zisizo na kibali rasmi.
Ushuhuda:
"Kanisa letu limefungwa na mamlaka bila sababu halali. Sasa tunaabudu mafichoni."
— Kiongozi wa Kikristo kutoka Tizi Ouzou
Chanzo: Amnesty International na Human Rights Watch, 2021
Ila Majini yanaujua Uislamu na Misikiti vizuri, hadi yanajenga Misikiti na wewe unaswali humo na kufurahi.Hayo uliyoandika ni maneno ya Marko. Yesu haujui ukristo wala halijui kanisa