kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,818
- 7,484
Nafkiri kunanamna nzuri zaidi ya kuhakikisha wazungu wanatuheshimu na kuacha kutunyonya! Ivi vijembe kwa mtu anayehangaika kulisha raia Wako nikama kupigania hawara mbele ya wakwe...
wakati anaongelea pua za wazungu,wazimbabwe wanasukumana wakiomba chakula toka usaid.
ukiwa vitani nilazma ujue target lasivyo unageuka kituko na mateka kabla hata hujapigana
wakati anaongelea pua za wazungu,wazimbabwe wanasukumana wakiomba chakula toka usaid.
ukiwa vitani nilazma ujue target lasivyo unageuka kituko na mateka kabla hata hujapigana