PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
yaelekea walinzi wake walivyoona Mzee kapigwa kofi. Mzee akawambia mama Alikua ananipangusa Vumbi.
Huyu alikun'gutwa kipigo cha mwewe akapelekwa Zurich.Nimekumbuka ya nchee Nkapa. Nchee anatembelea mkwaju hadi leo
mkuu kizungu kimetaja tofauti yao ni miaka 40: hivyo ni 52 kwa 92. ila tumalizie "LOVE DOESN'T ASK WHY"40 kwa 92!! kapigwa na bintiye kabisa