Wakuu, kuna mtoa mada aliyeandika kuwa Mufti Simba aliyasema maneno haya:
"Naye Mufti Mkuu, Alhaji Issa Shaabani Simba, aliwataka watoto wa marehemu kuendelea kuwa na umoja kama awali baba yao alipokuwa hai. Mufti Simba alisema ni vema watu wakaendeleza mafundisho aliyoyaacha Sheikh Yahya ya kumcha Mungu, kwani mtu anakufa lakini mafundisho yake hubaki vizazi hadi vizazi".
Tulimuuliza atuwekee source likini kimya mpaka sasa , hivi hiki kimya tunaweza kutafsiri kuwa mtoa mada hana uthibitisho?
na kuwa ameitumia JF kumzushia uwongo Mufti Simba?
Nijuzani wakuu!
"Naye Mufti Mkuu, Alhaji Issa Shaabani Simba, aliwataka watoto wa marehemu kuendelea kuwa na umoja kama awali baba yao alipokuwa hai. Mufti Simba alisema ni vema watu wakaendeleza mafundisho aliyoyaacha Sheikh Yahya ya kumcha Mungu, kwani mtu anakufa lakini mafundisho yake hubaki vizazi hadi vizazi".
Tulimuuliza atuwekee source likini kimya mpaka sasa , hivi hiki kimya tunaweza kutafsiri kuwa mtoa mada hana uthibitisho?
na kuwa ameitumia JF kumzushia uwongo Mufti Simba?
Nijuzani wakuu!