PostGE2025 Mufti Sheikh Abubakar Bin Zubeir awataka Diaspora kutotumika kuiharibu nchi

PostGE2025 Mufti Sheikh Abubakar Bin Zubeir awataka Diaspora kutotumika kuiharibu nchi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakar Bin Zubeir, amewata Watanzania wanaoishi nje ya kutumia fursa zilizopo huko ili kujenga uchumi wa Tanzania, kukiko kutumika kuvuruga amani iliyopo.

Mufti ametoa tamko hilo leo Disemba 7, 2025 Makao Makuu ya BAKWATA jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na viongozi wa Jumuiya mbalimbali za Kiislam ambapo amesisitiza amani na utulivu ndio msingi wa maendeleo ya Tanzania.
Source Jambo TV
 
Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt. Abubakar Bin Zubeir, amewata Watanzania wanaoishi nje ya kutumia fursa zilizopo huko ili kujenga uchumi wa Tanzania, kuliko kutumika kuvuruga amani iliyopo.

Mufti ametoa tamko hilo leo Disemba 7, 2025 Makao Makuu ya BAKWATA jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na viongozi wa Jumuiya mbalimbali za Kiislam ambapo amesisitiza amani na utulivu ndio msingi wa maendeleo ya Tanzania.

Source Jambo TV
Akafie mbele
 
Kiongozi wa dini hajui kwamba amani inajengwa na haki,au anajitoa ufahamu tu
 
Huko kutumika kwani wanatumiwa na nani?

Na sisi members wa JF tunatumika pia?
 
VIONGOZI WA KIISLAM NI VIBAKA

HAKUNA MUNGU WANAYEMTUMIKIA ZAIDI YA SHETANI
 
Huyu sheikh ubwabwa mwenye elimu ya madrasa ndiyo kweli anaweza kujibizana kwa hoja na akina Kiranga na Nyani Ngabu?

Diaspora siyo maadui wa Tanzania. Adui #1 wa Tanzania ni CCM na vimelea vyake!
 
Back
Top Bottom