Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,525
- 1,704
Mengine sawa ila kwenye kusafirisha hakuna uchunguzi zaidi ya ile issue ya kudakwa pale Oliver Tambo Airport akiwa misanduku ya dawa hizo akitokea JKIA hapa Dar na kufunguliwa mashtaka.Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Simon Sirro amesema mtuhumiwa Agness Gerald, maarufu Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuchukua vipimo vya damu ili kubaini kama anatumia dawa za kulevya.
Masogange ambaye ni mrembo maarufu anayetamba katika video za wasanii mbalimbali wa bongo fleva alikamatwa na polisi juzi.
Kamishna Sirro amewaambia wanahabari leo kuwa Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kwamba majibu yakipatikana kesho atafikishwa mahakamani
"Tunamchunguza Masogange katika mambo matatu ili kujua kama anauza , anatumia au anasafirisha dawa za kulevya, " amesema Kamishna Sirro.
Katika hatua nyingine, Kamishna Sirro amesema watuhumiwa 349 wamekamatwa kwenye operesheni ya kupambana na dawa za kulevya iliyoanza Februari Mosi mwaka huu.
Chanzo: Muungwana
Jf Bwana ina raha zake aiseeh
Kwa mkemia mkuu kufanya nini sasa? Yaani sasa tunaishia kutafuta "watumiaji". Kumbe mbwembwe na mikogo yooote bado hatuwajui wauzaji na wasambazi wakuu mpaka leo.
I wish I could be MKEMIA MKUU
china wana sheria kali sana lakini bado zinaenda, hii biashara haitakaa iishe labda tu itapungua.Nina imani haki itatendeka, na dawa za kulevya hazitakuja Tanzania.
Wasambazaji wakuu wa nn mlipiga kelele wasitangazwe!!!
Naona kama namna ya kusafisha chombo ya mfalme wa dar, ili muache kuchonga kuwa ana upendeleo; taarifa zitarudi queen of dar yuko safi kama gwajimaKamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Simon Sirro amesema mtuhumiwa Agness Gerald, maarufu Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuchukua vipimo vya damu ili kubaini kama anatumia dawa za kulevya.
Masogange ambaye ni mrembo maarufu anayetamba katika video za wasanii mbalimbali wa bongo fleva alikamatwa na polisi juzi.
Kamishna Sirro amewaambia wanahabari leo kuwa Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kwamba majibu yakipatikana kesho atafikishwa mahakamani
"Tunamchunguza Masogange katika mambo matatu ili kujua kama anauza , anatumia au anasafirisha dawa za kulevya, " amesema Kamishna Sirro.
Katika hatua nyingine, Kamishna Sirro amesema watuhumiwa 349 wamekamatwa kwenye operesheni ya kupambana na dawa za kulevya iliyoanza Februari Mosi mwaka huu.
Chanzo: Muungwana
Wamekamatwa lakini hakuna kilichokamatwa ila utasikia kete 18. Tunataka tusikie tumekata "mzigo" kilo 10 au 30 na waliokamatwa nao ni hawa. Hii movie ni fake tupuKamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu Dar es Salaam, Simon Sirro amesema mtuhumiwa Agness Gerald, maarufu Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kuchukua vipimo vya damu ili kubaini kama anatumia dawa za kulevya.
Masogange ambaye ni mrembo maarufu anayetamba katika video za wasanii mbalimbali wa bongo fleva alikamatwa na polisi juzi.
Kamishna Sirro amewaambia wanahabari leo kuwa Masogange amepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali na kwamba majibu yakipatikana kesho atafikishwa mahakamani
"Tunamchunguza Masogange katika mambo matatu ili kujua kama anauza , anatumia au anasafirisha dawa za kulevya, " amesema Kamishna Sirro.
Katika hatua nyingine, Kamishna Sirro amesema watuhumiwa 349 wamekamatwa kwenye operesheni ya kupambana na dawa za kulevya iliyoanza Februari Mosi mwaka huu.
Chanzo: Muungwana
Hayo mambo ya uchunguzi bado unaendelea itafika wakati mtu kauwawa kwa radi kisha tutaambiwa uchunguzi unaendelea kubaini kama ni radi ya mungu au ya kutengenezwa kichawi.Sasa wanamchunguza Masogange kama anasafirisha dawa za kulevya wakati alishakamatwa akisafirisha????? Halafu miaka yote walikua wapi wakati agnes anakamtwa south Africa???
Kweli hii ndio nchi ya "UCHUNGUZI BADO UNAENDELEA"..
Kama nimekuelewa vile dhamira yako!I wish I could be MKEMIA MKUU
Kuna mahali tunakaribia kupoteana. Tunataka wasambazaji na wauzaji, mbona watumiaji tunao kila kona na wanajulikana waziwazi?Kweli teknologia imekuwa sana siku hizi. Naomba ni juzwe jinsi mkemia mkuu anavyopima na kumgundua muuzaji na msafirishaji wa madawa ya kulevya.
Hili la kutumia sio tatizo kwani tunajua mtumiaji akikosa unga anakuwa amekata seal.
Na washawasha!
Samaritan hiyo inaitwa Random sampling.Ni kitu cha kawaida ukienda viwandani,migodini asubuhi huwa wanapima kilevi wakati wafanyakazi wanaingia kazini.Wanachagua holela holela wanapima kiwango cha pombe ambapo kiwango kinachokubalika ni 0% alcohol tu.