Muendelezo Vita Dawa ya Kulevya: Masogange apelekwa kwa Mkemia Mkuu

Mengine sawa ila kwenye kusafirisha hakuna uchunguzi zaidi ya ile issue ya kudakwa pale Oliver Tambo Airport akiwa misanduku ya dawa hizo akitokea JKIA hapa Dar na kufunguliwa mashtaka.
 
Kwa mkemia mkuu kufanya nini sasa? Yaani sasa tunaishia kutafuta "watumiaji". Kumbe mbwembwe na mikogo yooote bado hatuwajui wauzaji na wasambazi wakuu mpaka leo.

Usikurupuke, ACP Siro amesema anachunguzwa kwa mambo matatu, kama anauza, safirisha na ama kutumia! Wasambazaji wakuu wa nn mlipiga kelele wasitangazwe!!!
 
Naona kama namna ya kusafisha chombo ya mfalme wa dar, ili muache kuchonga kuwa ana upendeleo; taarifa zitarudi queen of dar yuko safi kama gwajima
 
Wamekamatwa lakini hakuna kilichokamatwa ila utasikia kete 18. Tunataka tusikie tumekata "mzigo" kilo 10 au 30 na waliokamatwa nao ni hawa. Hii movie ni fake tupu
 
Masogange hatumii madawa masogange anauza madawa ya kulevya..hili mbn lipo wazi..kamata funga jela miaka ya kutosha tu..i wish ningekuwa IGP( in dingi voice)
 
Hivi Chidi Passo bado hajapata nauli ya kwenda kuitikia wito,aache zengwe ilala mpaka central si anatembea tu na kijua cha asubuhi
 
Sasa wanamchunguza Masogange kama anasafirisha dawa za kulevya wakati alishakamatwa akisafirisha????? Halafu miaka yote walikua wapi wakati agnes anakamtwa south Africa???

Kweli hii ndio nchi ya "UCHUNGUZI BADO UNAENDELEA"..
Hayo mambo ya uchunguzi bado unaendelea itafika wakati mtu kauwawa kwa radi kisha tutaambiwa uchunguzi unaendelea kubaini kama ni radi ya mungu au ya kutengenezwa kichawi.
 
Mtumishi wa bwana huwa havunji hekaru bali hutii amri ujinga mzingo ni bora njaaa ya tumbo kuliko njaa ya akiri picha imekwisha
 
Kweli teknologia imekuwa sana siku hizi. Naomba ni juzwe jinsi mkemia mkuu anavyopima na kumgundua muuzaji na msafirishaji wa madawa ya kulevya.

Hili la kutumia sio tatizo kwani tunajua mtumiaji akikosa unga anakuwa amekata seal.

Na washawasha!
Kuna mahali tunakaribia kupoteana. Tunataka wasambazaji na wauzaji, mbona watumiaji tunao kila kona na wanajulikana waziwazi?
 

Unavyoelezea 'random sampling' na maana ya ''random sampling' haviendani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…