wadau wa jf, naomba mnisaidie kwa yeyote mwenye idea ya mikopo! je ukikopa bank mil 50 kwa kutumia hati ya kiwanja(nyumba), utaitaji kurudisha hiyo pesa kwa mda gani na kiasi gani kilia mwezi! pia utaanza kurudisha baada ya mda gani toka ulipochukuwa loan!