VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Wao ndiyo wenye serikali nani atawashughulikia? Kikwete ni Mwajiriwa wa hawa mapacha
Day dreaming! Lowassa hahusiki na Richmond [ rejea kauli yake aliyoitoa kwa JK kwenye kikao cha NEC Dodoma, haijawahi kukanushwa].Baada ya kurejeshwa kwa chenji ya Rada nchini ambayo imepangwa 'kununulia' madawati,muda umefika kwa mapacha watatu-EL,AC na RA kushughulikiwa.Taarifa zilizonifikia zinabainisha kuwa wakuu wa nchi walikuwa wakisubiri kurejeshwa kwa chenji ili kila pacha awe na jambo lake linaloonekana wazi mbele ya wananchi.
Wakati EL akihusishwa na Richmond-Dowans,RA hatoki kwenye Dowans na KAGODA;AC anakabwa koo na Rada.Kwa mpangilio huo,taarifa zinadai,hakuna atakayesalimika.Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi tayari alishakabidhiwa mafaili ya mapacha watatu.Ni muda wake muafaka sasa kuchukua hatua.Rais wetu Kikwete na asimwingilie.
Picha inaanza..
Mbona umemsemea Lowassa tu? Kwa taarifa yako,Lowassa ni fisadi aliyetukuka,msanii wa Shahada..Day dreaming! Lowassa hahusiki na Richmond [ rejea kauli yake aliyoitoa kwa JK kwenye kikao cha NEC Dodoma, haijawahi kukanushwa].
Wewe una shahada ya madrassa! Hakuna wa kumzuia Lowassa kuingia ikulu 2015.Mbona umemsemea Lowassa tu? Kwa taarifa yako,Lowassa ni fisadi aliyetukuka,msanii wa Shahada..
Kikwete si ameapa kuilinda katiba bila woga wala upendeleo? Rais hamwogopi mtu...
Baada ya kurejeshwa kwa chenji ya Rada nchini ambayo imepangwa 'kununulia' madawati,muda umefika kwa mapacha watatu-EL,AC na RA kushughulikiwa.Taarifa zilizonifikia zinabainisha kuwa wakuu wa nchi walikuwa wakisubiri kurejeshwa kwa chenji ili kila pacha awe na jambo lake linaloonekana wazi mbele ya wananchi.
Wakati EL akihusishwa na Richmond-Dowans,RA hatoki kwenye Dowans na KAGODA;AC anakabwa koo na Rada.Kwa mpangilio huo,taarifa zinadai,hakuna atakayesalimika.Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi tayari alishakabidhiwa mafaili ya mapacha watatu.Ni muda wake muafaka sasa kuchukua hatua.Rais wetu Kikwete na asimwingilie.
Picha inaanza..
Wewe una shahada ya madrassa! Hakuna wa kumzuia Lowassa kuingia ikulu 2015.
Wewe una shahada ya madrassa! Hakuna wa kumzuia Lowassa kuingia ikulu 2015.
Baada ya kurejeshwa kwa chenji ya Rada nchini ambayo imepangwa 'kununulia' madawati,muda umefika kwa mapacha watatu-EL,AC na RA kushughulikiwa.Taarifa zilizonifikia zinabainisha kuwa wakuu wa nchi walikuwa wakisubiri kurejeshwa kwa chenji ili kila pacha awe na jambo lake linaloonekana wazi mbele ya wananchi.
Wakati EL akihusishwa na Richmond-Dowans,RA hatoki kwenye Dowans na KAGODA;AC anakabwa koo na Rada.Kwa mpangilio huo,taarifa zinadai,hakuna atakayesalimika.Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi tayari alishakabidhiwa mafaili ya mapacha watatu.Ni muda wake muafaka sasa kuchukua hatua.Rais wetu Kikwete na asimwingilie.
Picha inaanza..
Mali bila daftari hupotea bila kujua. JK bab kubwa, wasiyomkubali ni majungu yao tu. Katika changamoto hizi za kidunia JK kajitahidi sana, na sioni mwingine wa kuweza kkabiliana na changamoto kama za mtiksiko wa uchumi duniani, mabadiliko ya kisiasa, majanga yasiyo ya kujitakia kama Mafuriko, ujambazi, uhuru wa vyombo vya habari uliopita kiasi na mengine mengi. Hebu tusubiri hiyo 2015 then atakayekuwa amechukua nchi tuone kama hataomba kuondoka pale magogoni.Aliapa na kuitetea katiba kwenye kitabu tu mkuu! Kikwete is not the man of action at all!
Eliezer Feleshi? Hawezi kumshughulikia msukuma mwenzake AC atawaweza EL na RA? Na hawa huwezi kuwashughulikia labda uanze na JK!Baada ya kurejeshwa kwa chenji ya Rada nchini ambayo imepangwa 'kununulia' madawati,muda umefika kwa mapacha watatu-EL,AC na RA kushughulikiwa.Taarifa zilizonifikia zinabainisha kuwa wakuu wa nchi walikuwa wakisubiri kurejeshwa kwa chenji ili kila pacha awe na jambo lake linaloonekana wazi mbele ya wananchi.
Wakati EL akihusishwa na Richmond-Dowans,RA hatoki kwenye Dowans na KAGODA;AC anakabwa koo na Rada.Kwa mpangilio huo,taarifa zinadai,hakuna atakayesalimika.Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi tayari alishakabidhiwa mafaili ya mapacha watatu.Ni muda wake muafaka sasa kuchukua hatua.Rais wetu Kikwete na asimwingilie.
Picha inaanza..
JF tupo wa kila aina humu.Take care!Wewe ni msemaji wa Mahakama na unawezaje kufikiwa na taarifa hizo? kama nani yaani. Ni vyema na wewe ukachunguzwa kwa kuingilia vyombo ya dola.
Baada ya kurejeshwa kwa chenji ya Rada nchini ambayo imepangwa 'kununulia' madawati,muda umefika kwa mapacha watatu-EL,AC na RA kushughulikiwa.Taarifa zilizonifikia zinabainisha kuwa wakuu wa nchi walikuwa wakisubiri kurejeshwa kwa chenji ili kila pacha awe na jambo lake linaloonekana wazi mbele ya wananchi.
Wakati EL akihusishwa na Richmond-Dowans,RA hatoki kwenye Dowans na KAGODA;AC anakabwa koo na Rada.Kwa mpangilio huo,taarifa zinadai,hakuna atakayesalimika.Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi tayari alishakabidhiwa mafaili ya mapacha watatu.Ni muda wake muafaka sasa kuchukua hatua.Rais wetu Kikwete na asimwingilie.
Picha inaanza..