babu yangu aliwai kuniambia hakuna mwanasiasa anaetetea wananchi wengi wanaongea ili waonekane wanafaa kuliko waliopo ili wapewe nafasi watafune maisha...amini nakwambia jamaa atakua kimya kuliko copy ya picha ya maji! Mda utasema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.