Muda una maana kubwa sana na tutaifahamu wakati miundombinu inayojengwa ikishaanza kazi kwa ukamilifu

Anazitoa mfukoni mwake au ni kodi za watanzania na zinatolewa kwa mujibu wa sheria? kama anahuruma sana mbona TLP na UDP hawapi? sijui hizi tope mlizoweka vichwani wenzetu mlizitoa wapi?Hivi ni Mungu aliwaumba hivyo kweli?

Mkuu fahamu kitu kimoja kupata ruzuku chama chochote ni kwa mujibu wa sheria. Kama umefuatilia hiyo video utaona kabisa Chadema kama Chama cha upinzani kimeshindwa kuendesha shughuli zake kwa mujibu wa kanuni na sheria tulizojiwekea. Mfano: Mweka fedha wa Chadema kapata hiyo position kwa sababu ya nepotism. Magari yote ya Chadema yanafanyiwa matengenezo kwenye kampuni ya Mwenyekiti, anayehoji matumizi ya hicho chama anang'olewa. Mifano ipo mingi na wale wote wanaotilia mashaka ya mwenyekiti wa miaka 20 iliyopita wakiuliza kuna mawili aidha wanahama chama au maisha yao yapo hatarini. Je, Msajili halioni hili kwamba hiki chama kina walakini? Wengine tayari tunaona hiki ni chama cha ukoo wa Mbowe. Je, wewe unakubali kweli kodi yako inatumika sahihi kumtajirisha Mbowe na familia yake?

Ruzuku wanayopata ingeweza kujenga ofisi yenye hadhi ya Chama cha upinzani sio kibanda hasara. Je, umeshaona Chadema wakifanya hata mkutano moja kwenye ofisi zao? Sifahamu hata kama kuna vyoo vya kutosha pale ufipa.

Jiulize ni kwa nini Dr. Slaa alikimbia chama hiki? Je, ni kwa nini Mropokaji mkuu na mpotoshaji alikimbia Chadema na kuanzisha chama cha mfukoni? Je, ni kwa nini wanachama wengi wanaondoka kutoka hiki chama? Ukichunguza utaona hakuna uwiano wa Demokrasia wanayoipigia kelele asubuhi, mchana jioni na usiku linapokuja swala la ruzuku ambayo inatumiwa kumtajirisha Mbowe na familia yake pekee. Bila kusahau jinsi waziri mkuu mstaafu alivyokimbizwa kama ukoma.
 
Mkuu fahamu kitu kimoja kupata ruzuku chama chochote ni kwa mujibu wa sheria. Kama umefuatilia hiyo video utaona kabisa Chadema kama Chama cha upinzani kimeshindwa kuendesha shughuli zake kwa mujibu wa kanuni na sheria tulizojiwekea. Mfano: Mweka fedha wa Chadema kapata hiyo position kwa sababu ya nepotism. Magari yote ya Chadema yanafanyiwa matengenezo kwenye kampuni ya Mwenyekiti, anayehoji matumizi ya hicho chama anang'olewa. Mifano ipo mingi na wale wote wanaotilia mashaka ya mwenyekiti wa miaka 20 iliyopita wakiuliza kuna mawili aidha wanahama chama au maisha yao yapo hatarini. Je, Msajili halioni hili kwamba hiki chama kina walakini? Wengine tayari tunaona hiki ni chama cha ukoo wa Mbowe. Je, wewe unakubali kweli kodi yako inatumika sahihi kumtajirisha Mbowe na familia yake?

Ruzuku wanayopata ingeweza kujenga ofisi yenye hadhi ya Chama cha upinzani sio kibanda hasara. Je, umeshaona Chadema wakifanya hata mkutano moja kwenye ofisi zao? Sifahamu hata kama kuna vyoo vya kutosha pale ufipa.

Jiulize ni kwa nini Dr. Slaa alikimbia chama hiki? Je, ni kwa nini Mropokaji mkuu na mpotoshaji alikimbia Chadema na kuanzisha chama cha mfukoni? Je, ni kwa nini wanachama wengi wanaondoka kutoka hiki chama? Ukichunguza utaona hakuna uwiano wa Demokrasia wanayoipigia kelele asubuhi, mchana jioni na usiku linapokuja swala la ruzuku ambayo inatumiwa kumtajirisha Mbowe na familia yake pekee. Bila kusahau jinsi waziri mkuu mstaafu alivyokimbizwa kama ukoma.
Ccm wanapotumia ikulu kufanya mikutano ya kamati au wajumbe wa kamati kusafiri bure kwa ndege ya umma ndo matumizi sahihi ya ruzuku? je ukiacha siasa zako uchwara report ya CAG kuhusu matumizi ya ruzuku zinasemaje? je Chadema imesajiriwa kisheria? kama ni chama cha ukoo na bado kimesajiriwa kwa mujibu wa sheria za Tanzania wewe tatizo lako nini?
 
Mkuu fahamu kitu kimoja kupata ruzuku chama chochote ni kwa mujibu wa sheria. Kama umefuatilia hiyo video utaona kabisa Chadema kama Chama cha upinzani kimeshindwa kuendesha shughuli zake kwa mujibu wa kanuni na sheria tulizojiwekea. Mfano: Mweka fedha wa Chadema kapata hiyo position kwa sababu ya nepotism. Magari yote ya Chadema yanafanyiwa matengenezo kwenye kampuni ya Mwenyekiti, anayehoji matumizi ya hicho chama anang'olewa. Mifano ipo mingi na wale wote wanaotilia mashaka ya mwenyekiti wa miaka 20 iliyopita wakiuliza kuna mawili aidha wanahama chama au maisha yao yapo hatarini. Je, Msajili halioni hili kwamba hiki chama kina walakini? Wengine tayari tunaona hiki ni chama cha ukoo wa Mbowe. Je, wewe unakubali kweli kodi yako inatumika sahihi kumtajirisha Mbowe na familia yake?

Ruzuku wanayopata ingeweza kujenga ofisi yenye hadhi ya Chama cha upinzani sio kibanda hasara. Je, umeshaona Chadema wakifanya hata mkutano moja kwenye ofisi zao? Sifahamu hata kama kuna vyoo vya kutosha pale ufipa.

Jiulize ni kwa nini Dr. Slaa alikimbia chama hiki? Je, ni kwa nini Mropokaji mkuu na mpotoshaji alikimbia Chadema na kuanzisha chama cha mfukoni? Je, ni kwa nini wanachama wengi wanaondoka kutoka hiki chama? Ukichunguza utaona hakuna uwiano wa Demokrasia wanayoipigia kelele asubuhi, mchana jioni na usiku linapokuja swala la ruzuku ambayo inatumiwa kumtajirisha Mbowe na familia yake pekee. Bila kusahau jinsi waziri mkuu mstaafu alivyokimbizwa kama ukoma.
Hukuwahi ona watu wakikimbia ccm?
 
..ccm inapokea milioni 1344 kwa mwezi.

..je, kwanini mnatumia rasilimali na majengo ya serikali kufanya shughuli za chama?

Ulitaka wakupe wewe, swala hapa mmeshindwa kukanusha mwanachama wenu kwenye hiyo clip mnavyochangishana kinyemela kumtajirisha Mbowe. BTW CCM wana miradi ya kufa mtu angalia vitega uchumi vyao JPM amewatengeneza sio mchezo, hawategemei tena pesa za ruzuku tu . Wewe na Chadema mna vitega uchumi gani? Au ni mali za Mbowe tu na kajengo ka-kupanga pale ufipa?

BTW Ikulu ni ofisi ya rais na kila mtanzania anaweza kwenda kwa mkutano na rais nyie si mlisusa! Ngojeni na nyie mkishinda urais mfanye mikutano Ikulu.

BTW CCM hawashindwi kufanya mikutano nje ya Ikulu bali kutokana na security ya cheo cha rais wanafanyia pale na sio dhambi.
 
Mkuu Mungu alikuumba na akili hizi au hii takataka iliyopo kichwani umepata ccm? yaani kama wewe ndo unajijua basi Mungu atusaidie.
Wewe kuwa huko ulipo unajidanganya ana akili sana!!.

Matusi tuwaachie wadogo zetu, hayana tija.
 
..ccm inapokea milioni 1344 kwa mwezi.

..je, kwanini mnatumia rasilimali na majengo ya serikali kufanya shughuli za chama?
Lumumba sio jengo la serikali, uliza historia yake. Nyinyi jengeni jengo kubwa kuliko ile nyumba ya ufipa.
 
Mwenye ilani inayoongoza nchi ndio anayefanyia kazi ikulu, huwezi kukwepa uwepo wa mikutano ya chama chake mahali pale.

..unajaribu kuhalalisha UHUNI.

..kwenye demokrasia za wenzetu chama tawala na Raisi aliyeko madarakani hawatumii rasilimali za serikali kwa shughuli za vyama vyao.

..CCM inafanya mambo mengi kinyume na sheria, katiba, na utawala bora, kwa kisingizio cha kutekeleza ilani ya chama.
 
..unajaribu kuhalalisha UHUNI.

..kwenye demokrasia za wenzetu chama tawala na Raisi aliyeko madarakani hawatumii rasilimali za serikali kwa shughuli za vyama vyao.

..CCM inafanya mambo mengi kinyume na sheria, katiba, na utawala bora, kwa kisingizio cha kutekeleza ilani ya chama.
Serikali inaongozwa na CCM, ilani ni ya CCM, kwani CCM iogope kuitumia ikulu kadri iyakavyo?.

SIku chama kingine kikiingi pale ikulu, hao CCM hawatakuwa na jeuri ya kuhoji matumizi ya ukumbi wa ikulu kwa mikutano halali ya chama hicho.
 
Serikali inaongozwa na CCM, ilani ni ya CCM, kwani CCM iogope kuitumia ikulu kadri iyakavyo?.

SIku chama kingine kikiingi pale ikulu, hao CCM hawatakuwa na jeuri ya kuhoji matumizi ya ukumbi wa ikulu kwa mikutano halali ya chama hicho.

..usijitoe ufahamu ndugu yangu.

..watu wenye uelewa kama nyinyi mkienenda namna hii mnapelekea vijana kupotoka.

..unaposema haya, wakati ukijua kabisa kuwa si sahihi, think about vijana wetu wakati ambapo mimi na wewe hatutakuwepo.

..ni makosa ccm kutumia rasilimali za umma kwa shughuli za chama.ccm inapokea ruzuku ya millioni 1344 kwa mwezi na ina kumbi kibao za mikutano.

..Ni kinyume na sheria na taratibu kutumia ukumbi wa Ikulu kufanya mikutano ya chama.

..Kama imewalazimu kufanya hivyo, basi chama kilipaswa KULIPIA ukumbi ule.

..Kwenye nchi za wenzetu ndivyo wanavyofanya. Kwa mfano, Trump akilazimika kutumia Air force One kwa shughuli za chama chake basi lazima atalipia gharama za matumizi hayo.
 
Back
Top Bottom