Muda si muda Chato kuwa shamba darasa

Muda si muda Chato kuwa shamba darasa

soine

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
2,113
Reaction score
2,334
Habari wadau,

Maendeleo ni jambo zuri na inapendeza zaidi unapoyapata au jirani yako kuyapata maana wengi watafaidika ama kujifunza toka kwa aliyefanikiwa.

Kuna threads nyingi ktk jukwaa zikilalamikia jinsi Chato inavyosonga kwa miradi ya maendeleo...Mimi naona kwa hili hatupaswi kulaumu bali sisi tulioko nje ya Chato yapasa kuhimiza wakurugenzi wa halmashauri tunazotoka kwenda kwenye kujifunza Chato. Ikiwa wao wameweza ktk haya:
  • Uwanja wa mpira
  • Uwanja wa ndege
  • Hoteli za kisasa
  • Ofisi za TRA
  • Traffic light (hata kama hakuna traffic jam ila wameweza kuangalia mbele)
  • Hospitali ya kisasa
  • Ufaulu mzuri wa wanafunzi
  • Hata wazee kupewa vitambulisho vya matibabu ili kupata huduma kwa urahisi zaidi
Je, hatupaswi kujifunza toka kwa wenzetu?
 
Hamna shida SI ipo Tanzania ukiona pazuri unaweza kuhamia kuishi huko Uzuri TANZANIA tuna Uhuru wa kuishi popote
 
Kuna hospitali ya ghorofa tisa inajengwa kimyakimya,ni vile tu wanahabari wamefungwa midomo,ghorofa tisa ni sawa na hospitali ya rufaa bugando
Hivi ya Butiama ina ghorofa ngapi? Nilipita pale kitambo niliona kama ina ghorofa 6 tu?
 
Nchi yetu ni tajiri sana
Acheni tuijenge.

Hilo ndilo jibu utalokutana
 
Kuna hospitali ya ghorofa tisa inajengwa kimyakimya,ni vile tu wanahabari wamefungwa midomo,ghorofa tisa ni sawa na hospitali ya rufaa bugando
Chato ni kuzuri sana mimi mwenyewe nataka kuhamia huko
 
Ni vizuri kuongeza miji ili ajira zipatikane
Kanyaga twende
 
Hamna shida SI ipo Tanzania ukiona pazuri unaweza kuhamia kuishi huko Uzuri TANZANIA tuna Uhuru wa kuishi popote
Nakumbuka mkurugenzi wa CRDB alilalamika kulazimishwa kujenga tawi chato ambako akasema haina manufaa kibiashara kwa bank yao!
 
Habari wadau,

Maendeleo ni jambo zuri na inapendeza zaidi unapoyapata au jirani yako kuyapata maana wengi watafaidika ama kujifunza toka kwa aliyefanikiwa.

Kuna threads nyingi ktk jukwaa zikilalamikia jinsi Chato inavyosonga kwa miradi ya maendeleo...Mimi naona kwa hili hatupaswi kulaumu bali sisi tulioko nje ya Chato yapasa kuhimiza wakurugenzi wa halmashauri tunazotoka kwenda kwenye kujifunza Chato. Ikiwa wao wameweza ktk haya:
  • Uwanja wa mpira
  • Uwanja wa ndege
  • Hoteli za kisasa
  • Ofisi za TRA
  • Traffic light (hata kama hakuna traffic jam ila wameweza kuangalia mbele)
  • Hospitali ya kisasa
  • Ufaulu mzuri wa wanafunzi
  • Hata wazee kupewa vitambulisho vya matibabu ili kupata huduma kwa urahisi zaidi
Je, hatupaswi kujifunza toka kwa wenzetu?
mkuu, mambo kama haya ndio yanatufanya wengine tufurahie tunaposikia wazungu wanataka kumwondoa jiwe.....
 
Habari wadau,

Maendeleo ni jambo zuri na inapendeza zaidi unapoyapata au jirani yako kuyapata maana wengi watafaidika ama kujifunza toka kwa aliyefanikiwa.

Kuna threads nyingi ktk jukwaa zikilalamikia jinsi Chato inavyosonga kwa miradi ya maendeleo...Mimi naona kwa hili hatupaswi kulaumu bali sisi tulioko nje ya Chato yapasa kuhimiza wakurugenzi wa halmashauri tunazotoka kwenda kwenye kujifunza Chato. Ikiwa wao wameweza ktk haya:
  • Uwanja wa mpira
  • Uwanja wa ndege
  • Hoteli za kisasa
  • Ofisi za TRA
  • Traffic light (hata kama hakuna traffic jam ila wameweza kuangalia mbele)
  • Hospitali ya kisasa
  • Ufaulu mzuri wa wanafunzi
  • Hata wazee kupewa vitambulisho vya matibabu ili kupata huduma kwa urahisi zaidi
Je, hatupaswi kujifunza toka kwa wenzetu?
Kwa kweli Chato wanahitaji hongera...wamepiga sana hatua kimaendeleo baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2015, nashangaa Dodoma tangu mwaka 1977 pamoja na kuwa na CDA hawana Uwanja wa Ndege wa maana...

Chato Oyeee, Wahutu Oyeee!
 
Kuna hospitali ya ghorofa tisa inajengwa kimyakimya,ni vile tu wanahabari wamefungwa midomo,ghorofa tisa ni sawa na hospitali ya rufaa bugando
Unaijua bugando vizuri wewe yaani jengo kama lijengwe chato watu tusijue
 
Nakumbuka mkurugenzi wa CRDB alilalamika kulazimishwa kujenga tawi chato ambako akasema haina manufaa kibiashara kwa bank yao!
Uongo mtupu unaoushuhudia.charles kimei ame zindua tawi mbele ya Magufuli na alisema litasaidia Sana kukuza uchumi wa watu wa chato
 
Back
Top Bottom