De Fantastico
Member
- Nov 30, 2018
- 15
- 6
Habarini wana dawati, naomba kifahamishwa hivi kwa kawaida inachukua muda gani kupewa majibu kwa mtu aliyefanya usahili, je ukifanya usahili halafu ukakosa unatumiwa taarifa?na je ni vibaya mtu akipiga simu kuuliza kama amepata au amekosa nafasi aliyofanyia usahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app