Muda mzuri wa kufanya mapenzi

Muda mzuri wa kufanya mapenzi

Shebeneza

Senior Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
139
Reaction score
25
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?
 
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?

mmmh! Huu mfungo unamitihani mingi sana.
 
mda wowote, hii haina timetable labda kama ni mke/mme wa mtu.
 
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?

wewe ni mtu hatari sana post ya 5 tu tangu ujiunge humu inazungumuzia mambo ya mapenzi ! nayo yawezekana ni fani !
 
Mpenzi wako afu unaletewa distabansezi? Mnafanyia barabarani?

Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?
 
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?

mkinyegeka tu mnaanza kuduu..
 
Marahabaaa kajukuu kateule.

Hebu nambie we unapenda kulengwa saa ngapi? Manake sredi za siku hizi zanchekeshaga sana. Hivi shule zimefungwa au?
Babu mbavu zanguuuuuuuu....at least u have made my day!
 
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?

umri wak0 tafadhali?
 
Back
Top Bottom