Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Asanteni sana wahusika.
Sisi wenye dstv inabidi tuangalie chefeko chereko la sivyo tuangalie wakata viuno sound city.
Au wacheza uchi sound city
Tunashukuru
Mie kifurushi cha Azam kikiishaga muda wake ikabaki TBC tu hua nahesabiaga hakuna kilichobaki,
Nawekaga hata Channel # 100 ya Azam ambayo huonyesha matangazo yao ya Vipindi mbalimbali
 
Hivi kwanini wamefungia local tv pekee? Kama kuna kanuni wamekiuka si wangezuia chaneli zote? Nisaidieni nipo gizani

Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia

Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao

Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja

Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa

TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
 
Inasikitisha sana...

Bila kusahau na ziara za viongozi... wa chama kilichoshika dola...

Mwendo wa vipindi vya nje tuu...

Habari tutazipatia JF...


Cc: mahondaw
Tunalazimishwa
Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia

Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao

Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja

Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa

TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
waziri angefafanua kuwa channel moja ni bei gani?
 
Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia

Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao

Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja

Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa

TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
Si ndio akili zenu maccm, kukurupuka tu kila wakati!
Fisi em imeharibu sana hili taifa...
 
Back
Top Bottom