Lkn matumizi ya sim na baadhi ya mitandao ya kijamii yamepungu uwezo wa watu kutongoza yaani ile face to face kwa kizazi cha leo ni ngumu couse demu akikupa namba tu ndo ameshakubali
sasa kumbe vip? apo ndo mwisho wayote sio mambo yale ya kipindi kile cha nyerere mtu unafukuzia miaka mitatu. mara uende kisimani una msubiri na asitoke.
Sijui mabarua uandike mambo yanaenda kimfumo mfumo tu sikuizi kubadilika kwasana.