rafiki yangu Kibunango kumbe unaota, kam huoti basi kimbilia Muhimbili haraka kwani Malaria inakuja, Leo kama Tanzania watasema cuf wameshinda uchaguzi Zenj ndio imetoka na anaebisha ndie atakuwa mhaini, kumbuka Abod Jumbe alikwishia wapi? na yeye alikuwa raisi mzima kama unavyotaka tuseme kwahiyo zenj tulieni