Mtwara kuchele!


acha kuwafanya watu mtwara limbukeni ww fa** Magamba hawana lao pale, unafikiri yale mateso waliyopata hata mwaka hujaisha wameyasahau? Ata km m2 ana kichwa panzi sio kihvyo ndg, jipangeni
 
PANYA ANAPOMLA MTU KISOGONI WAGA ANAMPULIZA! Kilichopo Mtwara Hauwezi Kukifananisha Kabisa Na Mnacho Kiona . CCM Mmetusaliti Nchi Mmewakabidhi Majangiri Wachina. Tunahangaika Hatujui Niwapi Tutaibukia CCM Metisaliti!
 

You are right...Lindi, Mtwara na Tanga ndiyo miji iliyopangwa vyema na mkoloni kabla ya uhuru wa Tanganyika. Wapanga mji kwa sasa inatakiwa wafikirie mji wa kisasa ambao hautakuja kutumbukia kwenye kero za Dar katika miaka michache ijayo.

Hatari nyingine kwa sasa ni kule maeneo ya "uzunguni" naona wanabadilisha matumizi ya ardhi...eneo la low density wanaanza kujenga vi-pub na vi-gesti!
 
'class struggle' leads development. sasa ninyi mlio mashambani endeleeni kushangaa!
 


Ayasemayo huyu jamaa ni ukweli mtupu kwani Mtwara kuna uwekezaji wa hali ya juu na hata hiyo miaka kumi ijayo naona ni mingi mno kuipita Mwanza. Mwenyewe nimetoka kuwekeza kwenye viwanja huko wiki iliyopita na yote yaliyosemwa nimeyaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…