MTUSAMEHE WANAWAKE

MTUSAMEHE WANAWAKE

Mkwawe

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2016
Posts
3,210
Reaction score
5,681
Ndugu zangu tujadili jambo moja,
Kuna nyuzi nyingi sana humu huanzishwa zikiwa na maudhui ya kukosoa mienendo mibaya ya wanawake wa kisasa hasa katika mahusiano na maisha. Nyuzi nyingi ninaziona zina tija na mimi pengine kwa namna moja au nyingine huwa naungana na baadhi ya hoja zinazoonekana kuwa na tija na kukosoa miendendo fulani

Ila katika hayo yote nauheshimu sana utu wa mwanamke kwa maana mwanamke ndiyo ulimwengu wenyewe, mbali na madhaifu yote ambayo sisi wanaume tunalalama juu ya wanawake lakini furaha na amani ya ulimwengu inalindwa na mwanamke

Kuna uzi umeanzishwa na ndugu dmkali wa kuelezea nyeti za wadada kwa namna mbaya sana, nilipousoma ule uzi moyo ukafa ganzi sana imeniuma kuona ni kwa kiasi gani kuna baadhi ya wanaume wanakosa staha juu ya hawa mama na dada zetu.

Hivi ni kweli mtu mzima na akili yako unaweza poteza rasilimali muda kwa kuandika mavi yale yale?? kweli?? halafu mtu alivyo mshenzi anasahau kuwa ana mama ambaye kamzaa kupitia uchi huo huo ambao anautukana

Kaka nikuambie ukweli tu umeyumba na ningeona ni busara ungewaomba radhi wanawake wote kupitia wanawake wa JF

Kwa niaba yake naomba mtusamehe sana wanawake kwa ujinga wa mpumbavu mmoja kutaka kuchafua taswira halisi ya sisi wanaume MASHABABI

dmkali hujatenda jambo zuri nakuomba uombe radhi
 
Kama una dada yako anatafuta kazi njoo pm..

you may not start conversation with the following recipient;Tairus
 
Mkuu, ebu naomba uambatanishe na hiyo link ya uzi ambao unautuhumu tafadhali
 
Kama una dada yako anatafuta kazi njoo pm..

you may not start conversation with the following recipient;Tairus

Hata mimi ningependa nimpatie dada yako kazi ya kudumu

Njoo pm
 
Ule Uzi hauna tatizo! Bali wasiopenda kujisahihisha ndio waliouchukia ule uzi!
Hivi mfano!; MTU AKISEMA MAGARI YANAYOTEMBEA BONGO YANACHOKA HARAKA atakuwa kakosea? ninachojua wenye akili watajua kwanini mileage ndogo bongo Gari linachoka! hivyo atawaza ama uzembe Wa service, ama barabara mbovu, ama ni hali ya hewa! vyote ili kujua tatizo liko wapi tujisahihishe;
kwahivyo
.kwenye Uzi wangu sijakashifu Bali nimelinganisha na kusema kwanini nyuchi za wanawake Wa kibongo zimekomaa? hapo nilitegemea tujadili huenda ni pedi wanazovaa, huenda ni viwembe, huenda ni nguo za mitumba n.k
Msemakweli mpenz Wa mungu! wanaume tusiwe wanafiki! kupenda siyo kusifia tu, hata kukosoa ni zaidi ya kupenda!
wenye akili kubwa walinielewa.!
LAKINI NAOMBA SAMAHANI KWALIOKWAZIKA!
Uzi wenyewe huu hapa!!!
Maumbile ya sehemu za siri za mwanamke wa kibongo yana sura tofauti na wanawake wa kimataifa - JamiiForums
 
Ule Uzi hauna tatizo! Bali wasiopenda kujisahihisha ndio waliouchukia ule uzi!
Hivi mfano!; MTU AKISEMA MAGARI YANAYOTEMBEA BONGO YANACHOKA HARAKA atakuwa kakosea? ninachojua wenye akili watajua kwanini mileage ndogo bongo Gari linachoka! hivyo atawaza ama uzembe Wa service, ama barabara mbovu, ama ni hali ya hewa! vyote ili kujua tatizo liko wapi tujisahihishe;
kwahivyo
.kwenye Uzi wangu sijakashifu Bali nimelinganisha na kusema kwanini nyuchi za wanawake Wa kibongo zimekomaa? hapo nilitegemea tujadili huenda ni pedi wanazovaa, huenda ni viwembe, huenda ni nguo za mitumba n.k
Msemakweli mpenz Wa mungu! wanaume tusiwe wanafiki! kupenda siyo kusifia tu, hata kukosoa ni zaidi ya kupenda!
wenye akili kubwa walinielewa.!
LAKINI NAOMBA SAMAHANI KWALIOKWAZIKA!
Uzi wenyewe huu hapa!!!
Maumbile ya sehemu za siri za mwanamke wa kibongo yana sura tofauti na wanawake wa kimataifa - JamiiForums
Mkuu wewe hujakutana na mbunye yenye mvuto, mi ya wife naipenda kishenzi. Yaani imeshiba vizuri na kukaa katikati ya mapaja manene, yaani nikimzamishia taratiibu huku ikinifit kinyama na yeye ananipokea kwa miguno ya aaaahshshshs. Mbunye imepigwa kipara, yaani laainiii.
Sass nakushangaa unaposema umekutana na za ajabu.
Labda shubaka yako haiko na design nzuri, ukiichomeka sehemu inaumizwa.
Mi nyingi nlizokutana nazo ni extreme superfine, chache chache ndo mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ule Uzi hauna tatizo! Bali wasiopenda kujisahihisha ndio waliouchukia ule uzi!
Hivi mfano!; MTU AKISEMA MAGARI YANAYOTEMBEA BONGO YANACHOKA HARAKA atakuwa kakosea? ninachojua wenye akili watajua kwanini mileage ndogo bongo Gari linachoka! hivyo atawaza ama uzembe Wa service, ama barabara mbovu, ama ni hali ya hewa! vyote ili kujua tatizo liko wapi tujisahihishe;
kwahivyo
.kwenye Uzi wangu sijakashifu Bali nimelinganisha na kusema kwanini nyuchi za wanawake Wa kibongo zimekomaa? hapo nilitegemea tujadili huenda ni pedi wanazovaa, huenda ni viwembe, huenda ni nguo za mitumba n.k
Msemakweli mpenz Wa mungu! wanaume tusiwe wanafiki! kupenda siyo kusifia tu, hata kukosoa ni zaidi ya kupenda!
wenye akili kubwa walinielewa.!
LAKINI NAOMBA SAMAHANI KWALIOKWAZIKA!
Uzi wenyewe huu hapa!!!
Maumbile ya sehemu za siri za mwanamke wa kibongo yana sura tofauti na wanawake wa kimataifa - JamiiForums

Nyeti iliyochakatwa ndio inakuwaje mkuu?
 
Mkuu wewe hujakutana na mbunye yenye mvuto, mi ya wife naipenda kishenzi. Yaani imeshiba vizuri na kukaa katikati ya mapaja manene, yaani nikimzamishia taratiibu huku ikinifit kinyama na yeye ananipokea kwa miguno ya aaaahshshshs. Mbunye imepigwa kipara, yaani laainiii.
Sass nakushangaa unaposema umekutana na za ajabu.
Labda shubaka yako haiko na design nzuri, ukiichomeka sehemu inaumizwa.
Mi nyingi nlizokutana nazo ni extreme superfine, chache chache ndo mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 aiseee
 
Tusiotaka kucoment tunaruhusiwa?.....Ila mkuu ulivyoanza nilidhani ni She Ila ulivyomalizia huko chini ndo nikajua kumbe ni mwenzetu
 
Back
Top Bottom