Mkuu inamaana umezoea kuzisimamia kama njenje?[baiskeli]
They are among of those i dated kipind cha nyuma kwa muda tofauti na kuwakuta hivyo na ilichukuwa muda sana mpaka kunipa zawadi [naita zawadi coz kwao ndo ilikuwa mara ya kwanza]. Jambo zuri pia nikwamba nilidumu nao sana. Ila kwasasa bikra hapana mkuu
Watu wanasema moja ya tatizo la mwanamke bikra ni kutamani kuonja vile ambavyo hajavionja
Wewe unalionaje hilo?
Wewe uliongozwa na kipofu?
Hivi unajua kufanyiana mtima nyongo kwenye mambo matam kama haya sio vizuri kabisa?
We haya tu!!!!!!
Mmmh! Hilo lipo kotekote....maana kuna jamaa alijitunza hadi akavuta mke.....after kuonja ile mambo kawa chovyachovya balaa........so bikra yeyote akianza kutafuta ladha tofauti lazima awe atamani tamani tuuu hivyo vya tofauti.....
Mwenye macho lakini hapa ni tofauti........
Hapa ni kipofu unaetaka kuingia nae kwenye ndoa kwa lolote awe tayari kuvumilia!!!!!!!!
Na yule jamaa umemuelewa?
Hizi ni dalili za kuniacha solemba
Sasa hii makitu si unaijua inakuwaje utafute notisi tena?
Sio vizuri hivyo ujue...lol!!
Mi naona tu hutakiYani unaweza kunipa lawama katika hili ila ukweli nimeishia hapo....kwenye hayo mambo niko zero aisee......hzo ndo notes nilizokuwa nazo...ngoja nikahudhulie discussion labda ntaambulia points nyingine...mbili tatu...mwe..
Kwahiyo wewe hii ndio sababu inayokufanya uwakimbie mabikra?
Mi naona tu hutaki
Kwanini unanifanyia hivi lakini we mrembo?