Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Yote...kama hajui mapenzi...mchovu...ana maumbile tofauti na uliyoyatarajia......yani uvumilie yote ambayo yatakwenda kinyume na matarajio yako...

Kwaniniutarajie kitu usichokuwa na uhakika wa uwepo wake?

Haafu kwani uchovu ni kilema?
 
Unajua ile comment nimetuma simu ikazingua nikajua hajafika...kumbe imefika....nshakujibu kwenye hiyo nyingine....

Nimeshaiona bibie!
 
Bikra haifai hata kidogo hasa siku ya kwanza, na mmojawapo akiwa ni mzoefu tayari. Kama siku ya kwanza aliye na bikra asipofurahia tendo, basi itakuwa ni majanga tupu. Nakubaliana na aliyesema bora wakutane wote mabikira.

Hutaki kuwajibika kumfundisha?
 
Siyo kuponda kila mtu ana matakwa yake...kama wew usivyopenda used tunaweza sema sizitaki mbichi hizi....

Wewe unapenda nini?
Used au?
 

kikivimba nenda kwa daktari... karibu usijali me wala hiyo sekta si mjuzi hata usipotaka mwaka mzima lakini maswala mengine kama kujali upo vizuri amna shida njoo....
 
Nina makovu mawili shavuni na shingoni yaliyotokana na hao bikra. Huwezi kuniambia uzuri wa bikra nikakuelewa kirahisi.

Wanasemaga huo ndio utamu wenyewe

Mbona nasikiaga eti wenyewe kwenye "mechi" wanasemaga eti wanaumia kumbe kule kuumia ndio utam wenyewe..lol!
 
kikivimba nenda kwa daktari... karibu usijali me wala hiyo sekta si mjuzi hata usipotaka mwaka mzima lakini maswala mengine kama kujali upo vizuri amna shida njoo....

Really??
Ngoja nikucheki kule mafichoni unipe ditailz!!!
 

nini kinaendelea hapa baba paroko......wasema maneno makubwa jamani

wito hakuna tena siku hizi
 
Kumfundisha naweza lakini inatakiwa kujiandaa kwelikweli.

Nasikiaga eti huwa wanatumia sana meno
Hasa sehemu za kifuani huwezi kutoka salama ukiwa na kazi ya kuitoa hiyo bikra
CC: Smile
 
Last edited by a moderator:
nini kinaendelea hapa baba paroko......wasema maneno makubwa jamani

wito hakuna tena siku hizi

Najifunza namna ya kutoa mafundisho kwa wanandoa watakokuja parokiani kufunga ndoa...lol!!!!
 
Kwaniniutarajie kitu usichokuwa na uhakika wa uwepo wake?

Haafu kwani uchovu ni kilema?

Kumbuka wew ni used kwa hyo lazima utakuwa na matarajio fulani kutoka kwa huyo bikra.......

Uchovu ni kilema cha kujitakia....na hapo itategemea kama huyo mtu yuko tayari kutoka kwenye hicho kilema cha kujitakia.....
 
Wanasemaga huo ndio utamu wenyewe

Mbona nasikiaga eti wenyewe kwenye "mechi" wanasemaga eti wanaumia kumbe kule kuumia ndio utam wenyewe..lol!
Inaonekana ndio hivyo, lakini nawe unayetoa hiyo bikra lazima utoke na maumivu na majeraha.
 
Kumbuka wew ni used kwa hyo lazima utakuwa na matarajio fulani kutoka kwa huyo bikra.......

Uchovu ni kilema cha kujitakia....na hapo itategemea kama huyo mtu yuko tayari kutoka kwenye hicho kilema cha kujitakia.....

Kwahiyo kama mtu ni bikra asitarajie kupata huduma kwako kirahisieee!!!!!!
Uchovu unaondoka tena kwa wiki moja tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…