Mtuhumiwa wa mauaji ya Padri Mushi aachiwa kwa dhamana

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Nov 27, 2011
1,132
185
Mtuhumiwa wa mauaji ya padri Mushi, Omar Mussa ameachiwa kwa dhamana na mahkama kuu Vuga.

Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia kwa dhamana ndugu Omar Musa Makame baada ya wadhamini wawili kujitokeza na kumuwekea dhamana ya Shilingi laki 5 kwa kila mmoja.

Dhamana hiyo imekubaliwa na Mahakama, na ndugu Makame yupo nje,hali hii imemfanya Ndugu Makame kuungana na familia,ndugu,jamaa na marafiki ktk kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.

Baadhi na jamaa na ndugu wameonekana kububujikwa na machozi na kuamini ipo siku haki itatendeka na ndugu yao kuwa huru,kwani wanaamini kesi hiyo ”alipewa“ kutokana na misimamo yake ya kisiasa na si kwamba alitenda.

Source: Mimi nikiwa Zenji
 
Zanzibar hakuna mahakama huru ... na polisi pia hakuna,udini umepitiliza ... kule muongozo ni quran tu.

Acha upimbi wewe! Chama tawala ni CCM Zanzibar sema wapi watapotumia Qur'an ktk sera zao
 
Na yule protegee wake Ilunga amesharudi yupo anadunda mwanza. Mambo ya hii nchi yanakatisha tamaa sana, failure everywhere
 
Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia kwa dhamana ndugu Omar Musa Makame baada ya wadhamini wawili kujitokeza na kumuwekea dhamana ya Shilingi laki 5 kwa kila mmoja.

Dhamana hiyo imekubaliwa na Mahakama, na ndugu Makame yupo nje,hali hii imemfanya Ndugu Makame kuungana na familia,ndugu,jamaa na marafiki ktk kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.

Baadhi na jamaa na ndugu wameonekana kububujikwa na machozi na kuamini ipo siku haki itatendeka na ndugu yao kuwa huru,kwani wanaamini kesi hiyo ”alipewa“ kutokana na misimamo yake ya kisiasa na si kwamba alitenda.

Source:Mimi nikiwa Zenji
 
siamini kama polisi na wanausalama wa serikali ya KIKWETE wameshindwa kumkamata mtuhumiwa. Kikwete anaendesha nchi wakristo wanateseka
 
Mahakama Kuu ya Zanzibar imemuachia kwa dhamana ndugu Omar Musa Makame baada ya wadhamini wawili kujitokeza na kumuwekea dhamana ya Shilingi laki 5 kwa kila mmoja.
Dhamana hiyo imekubaliwa na Mahakama, na ndugu Makame yupo nje,hali hii imemfanya Ndugu Makame kuungana na familia,ndugu,jamaa na marafiki ktk kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.
Baadhi na jamaa na ndugu wameonekana kububujikwa na machozi na kuamini ipo siku haki itatendeka na ndugu yao kuwa huru,kwani wanaamini kesi hiyo "alipewa" kutokana na misimamo yake ya kisiasa na si kwamba alitenda.
Source:Mimi nikiwa Zenji

Pengine wamelegeza masharti ya makosa
 
Ni NGUMU SANA KWA MKRISTO KUPATA HAKI ZANZIBAR, NI NGUMU SANA KWA MKRISTO KUPATA HAKI KWENYE SERIKALI HII YA kikwete wa CCM!...

Tafakuri.....
 
"Muuwaji" maana yake nini mkuu? Yule alikuwa ni mtuhumiwa tu na isitoshe alituhumiwa kwa kuwa amefanana na kile kikaragosi kilichochorwa na CIA lakini POLICCM imeshindwa kuthibitisha tuhuma kwa huyo mtu kwa zaidi ya miezi 9 ambapo kisheria ni ama aachiwe huru au apewe dhamana. Sasa ulitaka aachiwe huru au?
 
Back
Top Bottom