100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 3,615
- 12,042
Katika hiki kipindi cha sheria za tozo kuwa tight sana kuna rafiki yangu hapa katuma pesa kwa pisi yake halafu pisi imetuma sms inadai na ya kutolea?, hivi wenzangu mnaokutana na haya maswaibu mnawajibu vipi hawa watu?
Kaniomba nimsaidie kujibu hio sms, nimemwambia atume na ya kutolea hakuna namna, nimemuona jamaa kasogea pembeni akaanza kuongea na simu, ghafla sauti ikapanda na malumbano ya hoja yakaanza, baada ya kelele kuzidi nimeondoka kimya kimya nikasema kimoyomoyo hizi tozo mpaka sasa zimevunja hata ndoa za watu...
Kaniomba nimsaidie kujibu hio sms, nimemwambia atume na ya kutolea hakuna namna, nimemuona jamaa kasogea pembeni akaanza kuongea na simu, ghafla sauti ikapanda na malumbano ya hoja yakaanza, baada ya kelele kuzidi nimeondoka kimya kimya nikasema kimoyomoyo hizi tozo mpaka sasa zimevunja hata ndoa za watu...