Mtu wa kufanya Naye biashara

Mtu wa kufanya Naye biashara

Joined
Apr 23, 2025
Posts
17
Reaction score
16
Nawasalimu...Natamani mwezi August nifungue biashara ya kuuza mafuta ya kupikia,mchele na karanga. Kama kuna mtu yupo mikoa au eneo linalozalisha hayo mazao tunaweza kujadiliana namna yakufanya biashara kw maslahi ya pande zote mbili kwani nataka Kwa bei ya shambani. Nipo Moshi

Kingine: Hivi mbuzi anaweza kusafirishwa kwenye Buti la basi kwa umbali mrefu bila madhara na/ au kukiukwa Kwa haki zake?
 
Mkuu ukitaka biashara yoyote mwanzoni kama unataka kununua kwa wazalishaji lazima uende mwenyewe ili uwajue na utengeneze nao uaminifu vinginevyo nunua tu wa wauzaji wa jumla.

Pia mbuzi hawezi kusafirishwa kwenda buti la gari, hakuna mmiliki wa gari ama bus atakaekubali maana adhabu yake ni kubwa sana ikibainika.

Mafuta ya kupikia nenda kwanza wewe mwenyewe huko mashambani Singida ili ujue biashara kwa uhalisia wake.
 
Mkuu ukitaka biashara yoyote mwanzoni kama unataka kununua kwa wazalishaji lazima uende mwenyewe ili uwajue na utengeneze nao uaminifu vinginevyo nunua tu wa wauzaji wa jumla.

Pia mbuzi hawezi kusafirishwa kwenda buti la gari, hakuna mmiliki wa gari ama bus atakaekubali maana adhabu yake ni kubwa sana ikibainika.

Mafuta ya kupikia nenda kwanza wewe mwenyewe huko mashambani Singida ili ujue biashara kwa uhalisia wake.
Asante mkuu
 
Nawasalimu...Natamani mwezi August nifungue biashara ya kuuza mafuta ya kupikia,mchele na karanga. Kama kuna mtu yupo mikoa au eneo linalozalisha hayo mazao tunaweza kujadiliana namna yakufanya biashara kw maslahi ya pande zote mbili kwani nataka Kwa bei ya shambani. Nipo Moshi

Kingine: Hivi mbuzi anaweza kusafirishwa kwenye Buti la basi kwa umbali mrefu bila madhara na/ au kukiukwa Kwa haki zake?
Nzuri n ww ungeenda kwa wazalishaji moja kwa moja kupata ABC.....mfn kwa huku niliko gunia la mpunga lina 110000-150000( ukikoboa unaweza toa kg 58--65++ inategemea aina ya mpunga, matunzo yake, mashine na uaminifu wa mkoboaji
 
Back
Top Bottom