Mtu mwenye msimamo

Mtu mwenye msimamo

lutemi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
1,750
Reaction score
1,397
Tanzania kwa sasa vijana wengi iwe kwenye sekta binafsi au maeneo ya vyuoni au mashuleni au wafanyakazi wa serikali, kumeibuka wimbi kubwa la watu kutokuwa na msimamo. Hii inapelekea kuogopa kupoteza kibarua au kupoteza mme au mke au watoto (compromising).

Maisha kuwa magumu na watu wengi kuwa tegemezi pia yaani wanakutegemea ni sababu ya kufikia kuuza utu wako yaani mtu anaweza hata akakutia vidole machoni.

Naomba wanajukwaa tujadili.

Membe Bernad ni mtu jasiri? Je, ujasiri wake upo wapi haswa.

Je, Tundu Lissu ni jasiri? Natamani tuwe watu tunaoweza kusimama imara kwa maslahi ya nchi bila kutetereka.

Kupinga hoja sio kwa sababu unamchukia mtoa mada au kiongozi lakini kwa sababu unataka usawa au ufafanuzi au weredi katika kufanya kazi.

Karibuni wanajukwaa. Ongezeni unaodhani katika kipindi hiki wanafaa kuwa viongozi kwa sababu ya msimamo wake.
 
Kuwa na msimamo si muhimu sana kama kuwa na msimamo sahihi.

Unaweza kuwa na msimamo wa kula mavi, hubadilishi.

Nao ni msimamo.

Pia, unapoongelea kuwa na msimamo, taja na kuhusu nini.

Mtu anaweza kuwa na msimamo katika jambo moja, halafu akakosa nsimamo katika jambo jingine.

Zaidi, kukosa msimamo si kitu kibaya wakati wote. Watu wenye maarifa hubadilisha maoni yao kwa mujibu wa habari mpya wanazopata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiranga,

Umesema lakini hujakwenda kwenye kina chenye mjadala wenyewe
 
Kuwa na msimamo au kutokuwa na msimamo sio muhimu sana, muhimu ni kutokuchewa, kama kushikwa matako au kutiwa vidole, dignity ya mtu
 
Tanzania kwa sasa vijana wengi iwe kwenye sekta binafsi au maeneo ya vyuoni au mashuleni au wafanyakazi wa serikali, kumeibuka wimbi kubwa la watu kutokuwa na msimamo. Hii inapelekea kuogopa kupoteza kibarua au kupoteza mme au mke au watoto (compromising).

Maisha kuwa magumu na watu wengi kuwa tegemezi pia yaani wanakutegemea ni sababu ya kufikia kuuza utu wako yaani mtu anaweza hata akakutia vidole machoni.

Naomba wanajukwaa tujadili.

Membe Bernad ni mtu jasiri? Je ujasiri wake upo wapi haswa.

Je, Tundu Lissu ni jasiri? Natamani tuwe watu tunaoweza kusimama imara kwa maslahi ya nchi bila kutetereka.

Kupinga hoja sio kwasababu unamchukia mtoa mada au kiongozi lakini kwasababu unataka usawa au ufafanuzi au weredi katika kufanya kazi.

Karibuni wanajukwaa. Ongezeni unaodhani katika kipindi hiki wanafaa kuwa viongozi kwa sababu ya msimamo wake.
Ujasiri unajengwa hauji tu kutoka angani, kujiamini kwa membe kunatokana na hatua na mchakato wa maisha aliyopitia, kwa vijana walio wengi maisha hayawapi nafasi ya kujenga uwezo wa kujiamini badala yake wanabakia kuwa submissive kwa masters wao.
 
Kuwa na msimamo si muhimu sana kama kuwa na msimamo sahihi.

Unaweza kuwa na msimamo wa kula mavi, hubadilishi.

Nao ni msimamo.

Pia, unapoongelea kuwa na msimamo, taja na kuhusu nini.

Mtu anaweza kuwa na msimamo katika jambo moja, halafu akakosa nsimamo katika jambo jingine.

Zaidi, kukosa msimamo si kitu kibaya wakati wote. Watu wenye maarifa hubadilisha maoni yao kwa mujibu wa habari mpya wanazopata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lol we jamaa ni jinias sana.nafuatilaga sana maoni yako.
 
Kuwa na msimamo si muhimu sana kama kuwa na msimamo sahihi.

Unaweza kuwa na msimamo wa kula mavi, hubadilishi.

Nao ni msimamo.

Pia, unapoongelea kuwa na msimamo, taja na kuhusu nini.

Mtu anaweza kuwa na msimamo katika jambo moja, halafu akakosa nsimamo katika jambo jingine.

Zaidi, kukosa msimamo si kitu kibaya wakati wote. Watu wenye maarifa hubadilisha maoni yao kwa mujibu wa habari mpya wanazopata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyu jamaa kaoa na ana watoto!?..nauliza coz Leo kasema anapenda kuweka Mambo yake wazi.
 
Hebu nenda sturbacks kapige coffee sjui capuchino... Ntumie bill ntalipa
Ila kama Wana mobile money hko

Ova
Kuwa na msimamo si muhimu sana kama kuwa na msimamo sahihi.

Unaweza kuwa na msimamo wa kula mavi, hubadilishi.

Nao ni msimamo.

Pia, unapoongelea kuwa na msimamo, taja na kuhusu nini.

Mtu anaweza kuwa na msimamo katika jambo moja, halafu akakosa nsimamo katika jambo jingine.

Zaidi, kukosa msimamo si kitu kibaya wakati wote. Watu wenye maarifa hubadilisha maoni yao kwa mujibu wa habari mpya wanazopata.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu humu wanakuona in real life utakuwa mtu complicated sana..., zaidi ya mkomunisti
Ila kwa upande wangu nakuona uko easy tu una amini unacho kiamini! Syo kulazimishwa jambo anachoamini mwingine

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vijimambo tu.

Kujua wapi kuishi kwa principle na wapi kuibishia formula ni kipaji ambacho watu wengi hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda u jiniasi wa ujivuni na ubishi kaangalie majiasi wanavyo kua then uje u relate na huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
These things are relative.

There is no objective standard.

So, unless someone claims to be objective, let others maintain their point of view.

This is why, even as I don't think of myself as a genius, I do not obsess about disputing their point if view.

I am "their genius", nit "the genius".

There is a big difference.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom