Njia za kujua kama mtu anaovulate ni hizi zifuatazo
1)joto hupanda baada ya ovulation, kwa hiyo anatakiwa awe anapima joto lake mara baada ya kuamka kabla ya kupiga mswaki(basal body temperature) awe anachati hilo joto la mwili kila siku anapoamka, kabla ya ovulation huwa liko chini na hupanda kidogo baada ya ovulation (biphasic pattern), kwa hiyo likipanda atajua anaovulate na hasa akichanganya na dalili nyingine za ovulation hapa chini. lipande kidogo sio liwe la homa.
2) maumivu upande wa chini wa tumbo wa ile side ambayo inaovulate, (midcycle pain)
2) ute mwepesi unaoteleza
3) libido inaongezeka
4) lakini pia anaweza akacheck kuna hormones ambazo hupanda muda mfupi kabala ya kuovulate, mtu ambaye haovulate hatakuwa na surge ya hizi hormones, hizo ni Lutenizing hormone ambazo hupanda kati ya masaa 10 mpaka 12 kabla ya kuovulate, progesterone kama masaa nane kabla ya kuovulate.
Huyo mtu wako atakuwa na wakati mgumu kukonceive kwa sababu hizo weekend anazokuja mwezi wako zinaweza kumkuta zote hayuko kwenye ovulation, conception requires regular unprotected intercourse, kwa at least 3 days in a week.
Kila la kheri labda nimemsaidia