Mtu mwenye division iv ya 26

SHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.
 
Write your reply...wakuu hivi kielimu, imekaaje mtu kwenda Advance Kwa HKL private na kwenda chuo certificate ya sheria ,, msaada tafadhalii
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom