Mtu mwenye degree kufanya kazi ya Mtu wa form four serikalini.

Embu acheni dharau msiongee kwasababu nyie mlipata watu wa kuwafanyia mipango mkapata ivyo vikazi mnavyolingia sasa, kiukweli ajira ni tatizo na utaanzishake biashara bila ya mtaji utakuta nyie mnaosema afanye biashara hamna ata iyo ya genge tu

Kaka bora we umeligundua hili,kuna wenzetu wana dharau kichizi yani hadi sio mzuka.Kama kazi zingekuwa rahisi hivo wengi wasingevuliwa chupi ama kulipia fadhila ya 10% katika mshahara wa miezi miwili ya mwanzo.
 
wakuu mnatafasiri sheria vbaya saana saana. hyo kitu nimeshaiona mara nyingi saana saana. aisee utumish Tanzania hakuna kitu kama hicho. asikutishe mtu
 
Una degree moja tu unabagua kazi wakati themometer ina degree kibao na inafanya kazi kwenye mazingira magumu yenye harufu kali na giza nene!
 
False information ni ile related to hiyo post. Post inasema uwe form four. Wewe hauna form four. So km una form 4 (hata kama umevuka hujakosea coz hukutoa falsea information.
Kinachoongelewa hapo ni kusema una form 4 kumbe hauna na si kuwa na form four na at the same time una kitu kingine zaid au nje na form four. Umeelewa???????
 
False information ni ile related to hiyo post. Post inasema uwe form four. Wewe hauna form four. So km una form 4 (hata kama umevuka hujakosea coz hukutoa falsea information.
Kinachoongelewa hapo ni kusema una form 4 kumbe hauna na si kuwa na form four na at the same time una kitu kingine zaid au nje na form four. Umeelewa???????

We endelea tu na mapenzi ndiyo yanayokufaa
 
Ndio mana uhamiaji wamewaandikia kabisa wasiapply wenye degree wakigundulika watachukuliwa hatua,
Sasa wewe unaesema natafsiri vibaya sheria it meanz na uhamiaji hapo wamekosea kuandika hivo kwenye tangazo la kazi au?
sasa wenye degree waende wakaaply na hizo alaf wafiche vyet
 
Habari, Naomba tumsaidie ndugu yangu.. Elimu yake ni degree katika fani ya procurement & Supply. Kutokana na changamoto za ajira ameamua kuomba kazi ya mhudumu wa ofisi serikalini ambayo inahitaji mtu aliye na elimu ya kidato cha nne. Yeye Alificha vyeti vyake vya degree.
Je akifanikiwa kupata kazi ndani ya miaka 3 ya ajira ataweza kufanyiwa job recotegorization akionesha vyeti vyake vya degree ambavyo awali alivificha.
Kazi ya mwenye degree ikoje?
 
Back
Top Bottom