Kuhusu hili la mazao ni vizuri ikatafutwa njia ili mkulima wa Tanzania aweze kufaidi jasho lake. Kimasingi mimi nilishawahi kuwa mtoto wa mkulima, nina machungu sana na jinsi wanavyofanya kazi kwa mazingira magumu halafu kipato kidogo. Kuhusu hili la mimba, kama umesoma shule za Tanzania, unafahamu kuwa hakuna Binti anayepata mimba baadaye arudi shule, wamekuwa wakiondoka wenyewe/kuondolewa hakukuwa na sababu yoyote ya kuutangazia umma. Hata hivyo, Rais naye ni Binadamu, ana upungufu wake. Tunachotakiwa kufanya ni kuangalia kama upungufu ni kiasi gani ikilinganisghwa na mazuri, Binafsi naona upungufu ni mdogo, tatizo ni washauri wake.
Una uwezo wa kujua alipokosea ila huna uwezo wa kusahihisha....kazi kweli kweli. Nakukumbusha tu kwamba .... Kuna shule ya vitabu na shule ile ambayo ni real lifeSiwezo mfanyia kazi Great thinker!
tukiwa kama jopo la wanahabari tunafwatilia kwa ukaribu tutawapa taarifa
Mbona sioni jengo hapa, naona vichaka na watu. Ingefaa ikawa "......kwenye vichaka karibu na yalipo majengo ya ofisi za Bodi ya Korosho"MTU MMOJA AMEJINYONGA NYUMA YA BODI YA KOROSHO MKOANI MTWARA.
Mtu huyo mwenye jinsia ya kiume, bado ananing'inia kwenye mti wa Muarobaini kwenye kichaka kilichopo nyuma ya jengo la BODI YA KOROSHO Manispaa ya Mtwara mikindani na sababu bado haijajulikana.
Jeshi la polisi wameshafika maeneo haya ili taratibu zingine zichukuliwe.
View attachment 970227
Mara PAAAP hio barua ichomeni moto, itatukwaza kwa raia.
'Inasadikika amejinyonga'