inabidi kachunguzwe hospital. kwa kifupi ni kwamba wakati mtoto anakuwa tumbono mwa mama kende huwa tumboni mwa mtoto, lakini baada ya muda fulani (kama week ya 5-8) hushuka, ila kuna wengine huwa hazishuki, ndo maana baada ya kuzaliwa mtoto hospitalini laziwa akaguliwe ile mifuko ya kende kama zote zimo. na kama zinakoeskana, lazima wasubiri kama week 4 hivi kuona kama zinashuka, la sivyo hufanyiwa operation ili kuzishusha. kama kendo moja hiyo itafanya kazi ni vizuri, lakini katika uychunguzi wengi wamegundua huweza pata matatizo katika uzazi, au ile kende iliyobaki ndani kuleta matatizo. lakini kama hata kule ndani haipo basi hakuna matatizo yatakuwa niu maumbile yake tu. cha muhimu nenda kwanza hospitali kwa uchunguzi na ushauri.