Mtu kuwa na kende (Testis) moja je ni tatizo?

Ulimbo

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
3,767
4,034
Wana JF, naombeni msaada wenu kwa anayejua. Kuna mtoto wa kiume alizaliwa na kende (Testis) moja ndo inaonekana. Sijui ili linaweza kuwa tatizo kwake kiafya au haina tatizo; na kama ni tatizo nini kifanyike?
 
Kende moja halina shida mradi lisiwe na tatizo kiafya. linafanya kazi kama kawaida. taabu yake na lenyewe likiathirika maaana hakuna spare.
 
Wana JF, naombeni msaada wenu kwa anayejua. Kuna mtoto wa kiume alizaliwa na kende (Testis) moja ndo inaonekana. Sijui ili linaweza kuwa tatizo kwake kiafya au haina tatizo; na kama ni tatizo nini kifanyike?
inabidi kachunguzwe hospital. kwa kifupi ni kwamba wakati mtoto anakuwa tumbono mwa mama kende huwa tumboni mwa mtoto, lakini baada ya muda fulani (kama week ya 5-8) hushuka, ila kuna wengine huwa hazishuki, ndo maana baada ya kuzaliwa mtoto hospitalini laziwa akaguliwe ile mifuko ya kende kama zote zimo. na kama zinakoeskana, lazima wasubiri kama week 4 hivi kuona kama zinashuka, la sivyo hufanyiwa operation ili kuzishusha. kama kendo moja hiyo itafanya kazi ni vizuri, lakini katika uychunguzi wengi wamegundua huweza pata matatizo katika uzazi, au ile kende iliyobaki ndani kuleta matatizo. lakini kama hata kule ndani haipo basi hakuna matatizo yatakuwa niu maumbile yake tu. cha muhimu nenda kwanza hospitali kwa uchunguzi na ushauri.
 
inabidi kachunguzwe hospital. kwa kifupi ni kwamba wakati mtoto anakuwa tumbono mwa mama kende huwa tumboni mwa mtoto, lakini baada ya muda fulani (kama week ya 5-8) hushuka, ila kuna wengine huwa hazishuki, ndo maana baada ya kuzaliwa mtoto hospitalini laziwa akaguliwe ile mifuko ya kende kama zote zimo. na kama zinakoeskana, lazima wasubiri kama week 4 hivi kuona kama zinashuka, la sivyo hufanyiwa operation ili kuzishusha. kama kendo moja hiyo itafanya kazi ni vizuri, lakini katika uychunguzi wengi wamegundua huweza pata matatizo katika uzazi, au ile kende iliyobaki ndani kuleta matatizo. lakini kama hata kule ndani haipo basi hakuna matatizo yatakuwa niu maumbile yake tu. cha muhimu nenda kwanza hospitali kwa uchunguzi na ushauri.


Nashukuru kwa ushauri wako, na nitaufanyia kazi
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom