Ao jamaa ni watu wanao penda ukubwa na kiki kama zilivyo tabia za CEO wao, matokeo yake mtu kapewa cheo kisicho na kichwa Wala miguu wajanja wanaenda ku mtafuna wajinga wanashangilia.
Sasa hii mambo ya kupenda Umaarufu bila vigezo stahiki wanaumia na wataendelea kuumia wengi.