Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Hv wakuu kama si akili za kijinga ni
Sheria gani mbunge huyu Jasson Rweikiza alitaka itumike ili
Pro Lipumba ashitakiwe nayo?
Ndani ya bunge si kuna kinga?
Tena baadae anawapa waziri wa mambo ya ndani na wa sheria angizo
La kumkamata lipumba eti alifanya kosa la jinai huu si upuuzii kweli?
Elimu zingine ni mashaka tu!
Tena wanasema anadigirii ya sheria
Mwenye CV ya huyu mzigo wa CCM atuwekee hapa jamvini.
Sheria gani mbunge huyu Jasson Rweikiza alitaka itumike ili
Pro Lipumba ashitakiwe nayo?
Ndani ya bunge si kuna kinga?
Tena baadae anawapa waziri wa mambo ya ndani na wa sheria angizo
La kumkamata lipumba eti alifanya kosa la jinai huu si upuuzii kweli?
Elimu zingine ni mashaka tu!
Tena wanasema anadigirii ya sheria
Mwenye CV ya huyu mzigo wa CCM atuwekee hapa jamvini.