MTU anafikaje mgambo JKT akitokea Dar es Salaam?

MTU anafikaje mgambo JKT akitokea Dar es Salaam?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,910
Reaction score
18,551
Kuna ndugu yangu amepangwa Mgambo JKT iliyoko mkoani Tanga. Lakini hajui iko wilaya gani na namna ya kufika huko akitokea Dar!!! Naomba taarifa kwa anayeifahamu ilipo.
 
Nadhani Mgambo JKT ni ile ya Kabuku Handeni, apande gari zinazopita njia ya Kabuku then atashukia hapo Kabuku
 
Mwamboe
Kuna ndugu yangu amepangwa Mgambo JKT iliyoko mkoani Tanga. Lakini hajui iko wilaya gani na namna ya kufika huko akitokea Dar!!! Naomba taarifa kwa anayeifahamu ilipo.[/mwambie apande gar za Tanga watamshumsha njia panda kwenda mgambo Jk
 
Apande gari ya kwenda Tanga mjini. Aombe kushushwa kabuku. Akishuka hapo kuna magari yatakayo mpeleka hadi kambini yapo hapo stendi ya kabuku. Kambi ya mgambo unapatikana katika wilaya ya Handeni Tanga. Mgambo JKT kwa jina lingine pia inatamnulika kama Kabuku JKT.
 
Kuna ndugu yangu amepangwa Mgambo JKT iliyoko mkoani Tanga. Lakini hajui iko wilaya gani na namna ya kufika huko akitokea Dar!!! Naomba taarifa kwa anayeifahamu ilipo.
Panda basi la Tanga mwambie konda akushushe Kabuku. Ukishuka vuka barabara upande wa pili ilipo sheli. Hapo chukua bodaboda, mwambie akupeleke kambini. Ni kilomita 16 toka barabara kuu, elewana naye bei tu.
 
Michango Yote Mizuri Hadi Sasa Hivi
Tunasema Umeshafika Mgambo Jkt

Fuata Maelekezo Vema Hutapotea Tanzania Ni Kubwa Ila Tupo Pamoja

Kambi Inapatikana Barabara Kuu Ukitokea Mfano Chalinze Panda Bus Zinazokwenda Tanga
Waombe Ama Ongea Na Kondakta Wakushushe
Kabuku Hapo Pia Kuna Check Point Ya Police

Bila Shaka Ukitelemka Hapo Huwezi Kupotea
Kambi Za Jeshi Tanzania Nzima Ni Maeneo Ambayo Yanafahamika Sana Na Wananchi Wanaoishi Jirani
Machungwa Tele Hapo

 
Usisahau mafuta mgando kwa ajili ya jock itch itakusaidia.Ukiweza beba hata spirit kidogo itakusaidia kuzuia mapere ukishapigwa para.Ukiwez kupata metronidazole na paracetamol itakua vizuri siku ukipata homa sababu ya kidonda au mchafuko wa tumbo kwa kula karanga.Usisahau tranka (soldier box) kule utalinunua kwa bei kubwa maafande wana njaa wale (halafu huwa wanajitapa wanalipwa parefu).Ukiwa na kapoketi mane katakusaidia kupunguza njaa in case posho ikichelewa au ikikatwa ukapewa elfu 21 pekee


Ukawe mwepesi na kama ni serengeti tunza vizuri mkojo wako
 
Usisahau mafuta mgando kwa ajili ya jock itch itakusaidia.Ukiweza beba hata spirit kidogo itakusaidia kuzuia mapere ukishapigwa para.Ukiwez kupata metronidazole na paracetamol itakua vizuri siku ukipata homa sababu ya kidonda au mchafuko wa tumbo kwa kula karanga.Usisahau tranka (soldier box) kule utalinunua kwa bei kubwa maafande wana njaa wale (halafu huwa wanajitapa wanalipwa parefu).Ukiwa na kapoketi mane katakusaidia kupunguza njaa in case posho ikichelewa au ikikatwa ukapewa elfu 21 pekee


Ukawe mwepesi na kama ni serengeti tunza vizuri mkojo wako
Hivi posho bado zipo?
 
Kuna ndugu yangu amepangwa Mgambo JKT iliyoko mkoani Tanga. Lakini hajui iko wilaya gani na namna ya kufika huko akitokea Dar!!! Naomba taarifa kwa anayeifahamu ilipo.
Apande mabasi ya kwenda Tanga, kisha ashuke Kabuki. Avuke upande wa pili wa barabara ataona barabara ya kwenda Mgambo JKT. ni mwendo wa kilomita 15 kutoka hapo. Lakini JKT huwa wanaleta usafiri wao hapo kabuku kuwabeba hao kuruta.
 
Usisahau mafuta mgando kwa ajili ya jock itch itakusaidia.Ukiweza beba hata spirit kidogo itakusaidia kuzuia mapere ukishapigwa para.Ukiwez kupata metronidazole na paracetamol itakua vizuri siku ukipata homa sababu ya kidonda au mchafuko wa tumbo kwa kula karanga.Usisahau tranka (soldier box) kule utalinunua kwa bei kubwa maafande wana njaa wale (halafu huwa wanajitapa wanalipwa parefu).Ukiwa na kapoketi mane katakusaidia kupunguza njaa in case posho ikichelewa au ikikatwa ukapewa elfu 21 pekee


Ukawe mwepesi na kama ni serengeti tunza vizuri mkojo wako
Jamaa zetu hatari sana, wanatoa gari ya jeshi kuja kuwapokea vijana lakini wanatozwa nauli kama wanakwenda mkoani. KM 16 wamelipishwa nauli 5,000 na fedha ya dharura ya safari 5,000 jumla 10000@. Nimepata taarifa nikashangaa sana.
 
Back
Top Bottom