Yuyo Ahumile Shamalendi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2018
- 993
- 782
Poleni na pilika za weekend,
Moja kwa moja naenda kwenye mada.
Naombeni kujadiliana kuhusu jambo hili, eti mtu akiumwa hachangiwi ila akifa michango tele, kwa wakristo unavotoa hata mkono wako wa kushoto usione mbona mnatupatia bahasha tuweke sadaka humo huku nje tukiwa tumeandika majina yetu, je wale wanaohesabu hizo sadaka hawayaoni majina yetu na kiasi tulichotoa, na mengineyo mengi tu ila leo naishia hapo.
Karibuni kwa michango zaidi.
Moja kwa moja naenda kwenye mada.
Naombeni kujadiliana kuhusu jambo hili, eti mtu akiumwa hachangiwi ila akifa michango tele, kwa wakristo unavotoa hata mkono wako wa kushoto usione mbona mnatupatia bahasha tuweke sadaka humo huku nje tukiwa tumeandika majina yetu, je wale wanaohesabu hizo sadaka hawayaoni majina yetu na kiasi tulichotoa, na mengineyo mengi tu ila leo naishia hapo.
Karibuni kwa michango zaidi.