mnyandzombe
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 240
- 190
Habari wapendwa
Naomba kufahamu katika hili. Nina watoto mapacha wamekutwa na upungufu wa damu mwilini kiasi cha kutoka vidonda mdomoni. Hawawezi hata kula vizuri.
Je nini chanzo cha tatizo hili na tiba yake? Ushauri pia ni muhimu.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kufahamu katika hili. Nina watoto mapacha wamekutwa na upungufu wa damu mwilini kiasi cha kutoka vidonda mdomoni. Hawawezi hata kula vizuri.
Je nini chanzo cha tatizo hili na tiba yake? Ushauri pia ni muhimu.
Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app