baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 230
- 348
Wakuu nina mtoto ana kohoa, anaharisha na mbays zaidi nikimpa dawa anatapika ,hodpitali nimeenda tukapimwa na kulazwa kwa siku moja na nusu then tukaruhusiwa.
Lakini bado mtoto anaharisha na kukohoa ata nikimnywesha dawa anatapika.
Naombeni ushauri wenu mliokumbwa na tatizo kama hili nanyi wataalamu.
Lakini bado mtoto anaharisha na kukohoa ata nikimnywesha dawa anatapika.
Naombeni ushauri wenu mliokumbwa na tatizo kama hili nanyi wataalamu.