Mtoto wa Waziri David Mathayo, arekodi Video chafu

Mtoto wa Waziri David Mathayo, arekodi Video chafu

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,318
Habari wadau,

Mtoto wa aliyekuwa waziri wa mifugo Dr. David Mathayo amerekodi video ya ngono akiwa na wanafunzi wenzake.

Kwa maadili ya JF video haiwezi kuwekwa humu.Tunawaomba wanafunzi wakazanie masomo waachane na mambo ya kuiga kwani hayana manufaa yeyote kipindi cha masomo.

Dirty DAvid Mathayo.jpg

David Mathayo Akiwa na Binti yake aliyerekodi video ya ngono.
Mtoto wa David Mathayo.jpg
 
We Amalinze uzi gani huu leo? We hufanyi ngono??? Kama ndiyo makosa ya binti ni kurekodi? Basi labda si yeye ni mwenza wake ndo kaitoa na Inawezekana wewe na aliyeachia hiyo video ni wamoja. Kwa mtazamo wa haraka we ndo unataka kumpaka binti wa mheshimiwa tope. Acha mambo haya hayana faida. Discuss issues not people. Period
 
Oh My God, Dah dunia imeisha hii!

Lakini naona amerithi kwa baba maana namfahamu vizuri sana David!
Amewahi kuwachanganya mademu wawili wa ofisini kwetu, walimdhslilisha sana tena kipindi akiwa waziri wa mirugo???
 
We Amalinze uzi gani huu leo? We hufanyi ngono? Kama ndiyo makosa ya binti ni kurekodi? Basi labda si yeye ni mwenza wake ndo kaitoa na Inawezekana wewe na aliyeachia hiyo video ni wamoja.

Kwa mtazamo wa haraka we ndo unataka kumpaka binti wa mheshimiwa tope. Acha mambo haya hayana faida. Discuss issues not people.

Period

Kwahiyo mkuu ni sawa kwa mabinti kurekodi video wakifanya ngono shuleni?
 
Nilirushiwa WhatsApp juzi ila nikaifuta baada ya kuiangalia. Ila sikujua kama atakua mtoto wa mheshimiwa.
 
Kwahiyo mkuu ni sawa kwa mabinti kurekodi video wakifanya ngono shuleni?

Ni mbaya mkuu lkn mbaya zaidi ni kutangaza. Kama unabishi basi unyooshe mkono uape kama wakati unasoma hukufanya ngono. Km ulifanya basi utulie huyu kapata matatizo ya teknolojia tu lkn naye alikuwa anaburudika km ulivyokuwa unafanya wewe
 
Nilirushiwa WhatsApp juzi ila nikaifuta baada ya kuiangalia.Ila sikujua kama atakua mtoto wa mheshimiwa.

Nifah naona hiyo itakuwa ni kama kupiga revision ya ' mbinu za uwanjani' tena hata bila ya kulipia kiingilio.
 
COPD,

Sasa unavyojitahidi kutetea huu uozo una maanisha nini? au wewe unahusika na uozo huu?
 
Last edited by a moderator:
Huyu atakua amerekodiwa bila ridhaa yake.. Si sahihi.
 
Huyu atakua amerekodiwa bila ridhaa yake.. Si sahihi.

Usiseme usichokijua.Alikua anajua vizuri tu maana video imerekodiwa na wanafunzi wenzie.Alionekana kufurahia sana kitendo alichokua anakifanya na baada ya kumaliza alitabasamu huku anaangalia camera.
 
Back
Top Bottom