Mtoto wa mwaka mmoja na miezi nane kupata kinyesi cheusi

Darlis2016

Member
Nov 3, 2016
81
25
Habari za leo ndugu zangu, mimi Jana nilimpeleka mtoto wangu hospital akaonekana amepungukiwa damu kidogo kwa mjibu wa Doctor hivo akaandikiwa dawa za kuongeza damu na nikaanza kumpa jana, cha kunishangaza leo kapata haja Kubwa ya rangi nyeusi asbh na jioni hii pia kajisaidia hivohivo,,,, Je hii husababishwa na nini? Naomba ushauri wenu wataalam.
 
Signs of internal bleeding
if any of the following occur:

Fever of 100.4°F (38°C), or higher.

Continuing abdominal tenderness or pain; abdominal swelling.

Poor appetite.

Vomiting.

Blood in vomit.

Blood in stool (dark red or black)

Blood in urine (pink to dark red)

Weakness, dizziness, or fainting.
 
Kabla ya kwenda hospital alikuwa na tatizo la homa kupanda na kushuka, na ikipanda ilikuwa inafikia (38.4C),

Na mtoto wangu tangu utotoni kula huwa ni kulazimisha yaani hasa anapenda kunyonya kula ni kidogo sana na hasa akiwa na watoto wenzie ndo anajitahidi kula.
Sasa kwa ushauri hapo nifanyeje nimrushe tena hospital au nisitishe kwanza kumpa hiyo dawa,, naomba ushauri zaidi hapo.
 
Hapo ndo sijajua mkuu kama ana internal bleeding au la maana kinyesi chake kimenishangaza sana na imekuwa baada ya kuanza hiyo doze.
 
Hapo ndo sijajua mkuu kama ana internal bleeding au la maana kinyesi chake kimenishangaza sana na imekuwa baada ya kuanza hiyo doze.
kama hali inabadilika kuwa mbaya mrudishe hospital,
kama anaendelea kupata nafuu kwa dozi hiyo basi itakuwa n effect ya dawa, kuacha kula ni kawaida kwa wagonjwa so nikumbembeleza tu akipona atakula fresh(unless hapend kula since then)
 
kama hali inabadilika kuwa mbaya mrudishe hospital,
kama anaendelea kupata nafuu kwa dozi hiyo basi itakuwa n effect ya dawa, kuacha kula ni kawaida kwa wagonjwa so nikumbembeleza tu akipona atakula fresh(unless hapend kula since then)
Baada ya jana kuanza hiyo doze kidogo leo amechangamka kiasi fulani, Tatizo kilichonistua ni hiyo rangi ya kinyesi.
 
kama hali inabadilika kuwa mbaya mrudishe hospital,
kama anaendelea kupata nafuu kwa dozi hiyo basi itakuwa n effect ya dawa, kuacha kula ni kawaida kwa wagonjwa so nikumbembeleza tu akipona atakula fresh(unless hapend kula since then)
Nimesoma kikaratasi cha ndani mojawapo kati ya ADVERSE EFFECTS ni black Stools,,,,,, sasa je kitaalamu niiache hii dawa au niendelee nayo??
 
Nimesoma kikaratasi cha ndani mojawapo kati ya ADVERSE EFFECTS ni black Stools,,,,,, sasa je kitaalamu niiache hii dawa au niendelee nayo??

Acha wasiwasi rangi ya kinyesi sio issue, angalia progress ya mtoto!
 
IMG_20170328_013158.jpg
IMG_20170328_013214.jpg
IMG_20170328_012248.jpg
 
Hebu ngoja kwanza nione umetuma post hii kupitia jukwaa gani! Ahaa, sawa jamani msaidieni huyu FIRST TIME MOTHER!
 
Nimesoma kikaratasi cha ndani mojawapo kati ya ADVERSE EFFECTS ni black Stools,,,,,, sasa je kitaalamu niiache hii dawa au niendelee nayo??
Mimi siyo daktari ila dawa za kuongeza damu mara nyingi zina iron na moja ya sifa zake ni kuwa nyeusi ikiwa oxidised. Mimi naona ile ni vile imeingia tumboni ikachanganyika na oxygen ndo imekuwa hivyo labda. Kama anacheza na halii kuumwa tumbo, subiri umalize dose mkazanie vitu vya kunywa kama hapendi kula. Nunua maziwa ya low fat anywe labda itasaidia. Pole.
 
Signs of internal bleeding
if any of the following occur:

Fever of 100.4°F (38°C), or higher.

Continuing abdominal tenderness or pain; abdominal swelling.

Poor appetite.

Vomiting.

Blood in vomit.

Blood in stool (dark red or black)

Blood in urine (pink to dark red)

Weakness, dizziness, or fainting.
Hook worm Infection,
(Ancylostomiasis),
Hizo ni dalili zote za ancylostomiasis,


Ndio maana kapungukiwa damu kidogo (microcytic hypochromic anaemis).

Anaminyoo
 
Mimi siyo daktari ila dawa za kuongeza damu mara nyingi zina iron na moja ya sifa zake ni kuwa nyeusi ikiwa oxidised. Mimi naona ile ni vile imeingia tumboni ikachanganyika na oxygen ndo imekuwa hivyo labda. Kama anacheza na halii kuumwa tumbo, subiri umalize dose mkazanie vitu vya kunywa kama hapendi kula. Nunua maziwa ya low fat anywe labda itasaidia. Pole.
Asante sana kwa ushauri wako niah
 
Back
Top Bottom