Candid Scope JF-Expert Member Nov 8, 2010 11,890 6,899 Feb 22, 2012 #1 Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal akiwa katika shamba la mahindi la Waziri Mkuu Mizengo Pinda, lililopo kijiji cha Vilolo wakati akiwa katika ziara yake ya Mikoa ya Katavi na Rukwa.
Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal akiwa katika shamba la mahindi la Waziri Mkuu Mizengo Pinda, lililopo kijiji cha Vilolo wakati akiwa katika ziara yake ya Mikoa ya Katavi na Rukwa.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Feb 22, 2012 #2 alaaaaaaaa!!!........sasa ndio nimejua lengo kuu la ziara......ahsante mkuu..lakini mbona halizindui??
alaaaaaaaa!!!........sasa ndio nimejua lengo kuu la ziara......ahsante mkuu..lakini mbona halizindui??
PingPong JF-Expert Member Dec 21, 2008 926 160 Feb 22, 2012 #3 nadhani umefika wakati wa kuacha kutumia hiyo nickname ya " MTOTO WA MKULIMA"................huyu ni fisadi tu
nadhani umefika wakati wa kuacha kutumia hiyo nickname ya " MTOTO WA MKULIMA"................huyu ni fisadi tu