Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Katika kutekeleza majukumu ya kikazi mkoa mmoja kusini mwa tz,mtoto wa mkulima alienda kukagua visima. Alipopelekwa akataka achungulie ndani. Kuchungulia akaona kitu kama chura,akauliza: humu kisimani mnafuga vyura? Watendaji wengine walipochungulia wakaiona sura ya mkuu ambayo iko reflected na maji. Kumzuga wakamwambia,tutamwaga dawa inayowaua ili wafe. Kila m1 alienda kuchekea kwake.