Miaka 2? Wewe mkuu ulipelekwa kote huko na wazazi wako ukiwa na miaka 2 na nusu?Mpeleke kwa daktari wa watoto, ataweza kupewa multivitamins.
Pia usimfungie ndani mwache ajichanganye na wenzie acheze nao .
Ikibidi mpeleke Shule ya baby class akajichanganye michezo ni mazoezi!
Mkuu mpe chips Kuku,,Nina mtoto wa kiume wa miaka miwili na nusu hapendi kula kabisa. Nimempima minyoo na haumwi chochote lakini kula kwake ni kwa shida mpaka umlazimishe. Inaweza ikawa nini?
Nifanyeje arudi tena kama zamani.
Akijibu hili la Ratiba na aina ya mlo uniTag pia.Hebu naomba kujua ratiba yake ya chakula ulivyomlisha jana na juzi siku nzima,anza na ijumaaa Full diet yake ilikuaje tangu asubuhi hadi jioni kisha Jmos Full diet yake ilikuaje asubuhi to jioni.
Kisha nitajua shida ni wewe au ni mwanao,naomba ratiba ya siku hizo mbili,usisahau kusema mtoto n wa jinsia gani na upo mkoa gani.Asante.
Miaka 2? Wewe mkuu ulipelekwa kote huko na wazazi wako ukiwa na miaka 2 na nusu?
Hebu naomba kujua ratiba yake ya chakula ulivyomlisha jana na juzi siku nzima,anza na ijumaaa Full diet yake ilikuaje tangu asubuhi hadi jioni kisha Jmos Full diet yake ilikuaje asubuhi to jioni.
Kisha nitajua shida ni wewe au ni mwanao,naomba ratiba ya siku hizo mbili,usisahau kusema mtoto n wa jinsia gani na upo mkoa gani.Asante.
Rudia kusoma nilichokuomba kisha nijibu upya,najua mtoto anakula vitu tofauti mimi naomba rudia kusoma swali na ombi langu kisha nijibu upya.Anakunywa uji asubuhi wa lishe,maziwa fresh yapo wakati wote kwa ajili yake na pia huwa anakula chakula cha pamoja kama ni wali,ndizi,ugali na nyama,maharage,mchicha nk...
Hujajibu nilivyouliza wewe umeorodhesha tu list ya vyakula unavyomlisha mtoto,Jibu kama nilivyokuuliza.Nimejibu
Miaka 2? Wewe mkuu ulipelekwa kote huko na wazazi wako ukiwa na miaka 2 na nusu?
Wacha kumzingua mleta mada huyo ana shida kweli.. Wewe kama una msaada mpe...Rudia kusoma nilichokuomba kisha nijibu upya,najua mtoto anakula vitu tofauti mimi naomba rudia kusoma swali na ombi langu kisha nijibu upya.
Jibu kulingana na nilivyotaka au nilivyouliza mimi,Narudia naomba ratba ya siku mbili za mtoto yani juzi na jana kuanzia asubuhi,mchana,jioni,usiku wakati analala.
Nipe muda niko barabarani:Nitakulizia kwa ma professional tiba na makuzi ya watoto... Lakini kiufupi tumia njia ya asili baadhi ya kina Mama wanazijua sana..Bora umenisaidia.Mi ni baba kujua hiyo ratiba mpaka niulize. Na hata hivyo hii tabia ya kutopenda kula ni ya muda mrefu si ya jana na juzi.
Help pls
simzingui nataka kumsaidia ila unaweza kuona kama namzingua,nipo serious sana ila yeye ndio hayupo serious kwasababu hajui ratiba ya mtoto kula halafu anasema mtoto anasumbua kula.Wacha kumzingua mleta mada huyo ana shida kweli.. Wewe kama una msaada mpe...
siri ya mtoto asiependa kula ipo hapa na wala hamna utaalamu ktk hili.Nimeandika kwa uzoefu tu coz na mie mwanangu yupo kwenye age range hiyo.Alikua hapendi kula nikaanza kutengeneza ratiba yake ya chakula na kumbadikishia vyakula vipya kila mara....sasa hivi anakula yani sina wasi wasi hata kama sipo anasimamiwa vizuri tu na anakula naridhika.
Msije mkazoesha zile dawa za kuongeza hamu ya kula maana atakua dependent sio nzuri sana