Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
Anamaliza kulea mapema kabisa!hapo akiwa na miaka 30 watoto washakua watu wazima over 18
Yote maisha,kila binadamu na aina ya maisha aliyopangiwa na mwenyezi mungu!Inasikitisha kwa kweli, mh!
Mikoa fukara kabisa inaongoza kwa ngono holela lakini haina namba kubwa ya waathirika wa UkimwiHapo lazima patakuwa kule kwenye maandamano ya gesi au karibu yake
Mwangalie vizuri usoni,utagundua utoto wake!Mmmmmh! Siamini mbona anaonekana ni mbibi?
Hapo lazima patakuwa kule kwenye maandamano ya gesi au karibu yake
Yote maisha,kila binadamu na aina ya maisha aliyopangiwa na mwenyezi mungu!
mkuu tukutuku, mara nyingi sana mungu anasingiziwa, hatuna mungu mwenye ubaguzi kama huo, wengine awapangie maisha bora na wengine maisha ya mashaka kama haya. Mungu wetu hana ubaguzi huo, haya ni mambo yanasababishwa na sisi wenyewe wanadamu na walio kwenye dhamana ya uongozi, hakuna kingine.
inasikitisha saaanaMwangalie vizuri usoni,utagundua utoto wake!
Mkuu Kamuzu nimekusoma vizuri,unachokisema ni sahihi kabisa!Mkuu Tukutuku, mara nyingi sana Mungu anasingiziwa, hatuna Mungu mwenye ubaguzi kama huo, wengine awapangie maisha bora na wengine maisha ya mashaka kama haya. Mungu wetu hana ubaguzi huo, haya ni mambo yanasababishwa na sisi wenyewe wanadamu na walio kwenye dhamana ya uongozi, hakuna kingine.