ubuntuX
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 1,997
- 2,242
Bila salam nataka niwaeleze mtihani nilionao
Babangu ana wake wawili wote anaishi nao katika nyumba mbili sehemu moja na tunaishi vizuri tu kama familia moja kama mgeni huezi jua jinsi tunavopendana ndani ya nyumba hizi,sasa huyu bimdogo alivoolewa alikuja na mtoto wake wa kike alikua ana miaka kama 8 hivi tumeishi pamoja kama mdogo wangu na nishamwakilisha mzee kwenye vikao shule ya msingi kama kaka wa huyu binti,
Sasa sasahivi kakua na kuvunja ungo na ni mzuri mashaallah yupo form three sasa shule anayosoma ni shule ya kata mi nilisoma kama 5 years back ambayo haipo mbali na tunapokaa na hapo shuleni niliacha CV ya kua mtukutu,handsome na kushobekewa na wasichana na mwisho wa siku mi ndo nilikua katika wanafunzi waliofaulu vizuri sana na kuwashangaza walimu.
Sasa huyu dogo sijui kimemsibu nini lakini siku hizi ananiletea mambo ya mitego mitego sana mpaka namshangaa ukicheki namuona kama mdogo wangu na mama yake kama mamayangu kwa jinsi tulivoishi, dogo amekua mi nikija home basi huyo kajileta mara sijui nimfundishe hiki mara hiki lakini namfundisha anayatega manyonyo yake wazi,mara anisifie nilivopendeza au kunyoa na mimi nashndwa kumkazia sababu yeye anajua siri nyingi zangu kama ashawahi nifumania nakunywa pombe(sisi ni watu wa dini sana)akanikaushianishaleta wanawake home yeye akajua akakausha plus alikuja ndgu yao home nikamla akajua na akakausha.
Sasa kumuekea sura ngumu nashindwa naona akijua atalizua lolote na nikaanza kumkwepa sasa leo kanipa daftari lake et niingalie kazi yake ya essay kama kapatia alafu yeye akaondoka nilichokikuta sikuamini,mtoto huyu nyuma kaandika kama mashairi ya kunisifia na mapenzi ambayo na uhuni wangu sijawahi kuyasikia sijui kayapata wapi nilichofanya nimechana hizo karatasi sasa wadau naombeni ushauri nimfanye nini?Na kwanini mimi?Nini kimemshawishi wakati anajua mimi ni kaka yake japo si wadamu?
Japo mimi napenda papuchi ila ya huyu siwezi sababu namuona ni mdogo wangu na nalinda heshima yangu na nataka nilitatue hili tatizo kimakini zaidi na lisifike kwa wazee lisije likaleta uhasama na akaniharibia na mimi.
Please nawaomba ushauri ki ukweli sina raha
Babangu ana wake wawili wote anaishi nao katika nyumba mbili sehemu moja na tunaishi vizuri tu kama familia moja kama mgeni huezi jua jinsi tunavopendana ndani ya nyumba hizi,sasa huyu bimdogo alivoolewa alikuja na mtoto wake wa kike alikua ana miaka kama 8 hivi tumeishi pamoja kama mdogo wangu na nishamwakilisha mzee kwenye vikao shule ya msingi kama kaka wa huyu binti,
Sasa sasahivi kakua na kuvunja ungo na ni mzuri mashaallah yupo form three sasa shule anayosoma ni shule ya kata mi nilisoma kama 5 years back ambayo haipo mbali na tunapokaa na hapo shuleni niliacha CV ya kua mtukutu,handsome na kushobekewa na wasichana na mwisho wa siku mi ndo nilikua katika wanafunzi waliofaulu vizuri sana na kuwashangaza walimu.
Sasa huyu dogo sijui kimemsibu nini lakini siku hizi ananiletea mambo ya mitego mitego sana mpaka namshangaa ukicheki namuona kama mdogo wangu na mama yake kama mamayangu kwa jinsi tulivoishi, dogo amekua mi nikija home basi huyo kajileta mara sijui nimfundishe hiki mara hiki lakini namfundisha anayatega manyonyo yake wazi,mara anisifie nilivopendeza au kunyoa na mimi nashndwa kumkazia sababu yeye anajua siri nyingi zangu kama ashawahi nifumania nakunywa pombe(sisi ni watu wa dini sana)akanikaushianishaleta wanawake home yeye akajua akakausha plus alikuja ndgu yao home nikamla akajua na akakausha.
Sasa kumuekea sura ngumu nashindwa naona akijua atalizua lolote na nikaanza kumkwepa sasa leo kanipa daftari lake et niingalie kazi yake ya essay kama kapatia alafu yeye akaondoka nilichokikuta sikuamini,mtoto huyu nyuma kaandika kama mashairi ya kunisifia na mapenzi ambayo na uhuni wangu sijawahi kuyasikia sijui kayapata wapi nilichofanya nimechana hizo karatasi sasa wadau naombeni ushauri nimfanye nini?Na kwanini mimi?Nini kimemshawishi wakati anajua mimi ni kaka yake japo si wadamu?
Japo mimi napenda papuchi ila ya huyu siwezi sababu namuona ni mdogo wangu na nalinda heshima yangu na nataka nilitatue hili tatizo kimakini zaidi na lisifike kwa wazee lisije likaleta uhasama na akaniharibia na mimi.
Please nawaomba ushauri ki ukweli sina raha