Ngwanakilala
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 774
- 1,456
Ndugu zangu
Leo nasikitika kuwataarifu kuwa ndugu yetu Kulwa Juma Ikangaa (government name Beatrice Juma Ikangaa) amefariki dunia jana jumamosi. Msiba uko nyumbani kwa Mzee Juma Ikangaa Sinza kwa Remmy. Nawapa pole sana ndugu, jamaa na marafiki wa ukoo wa Juma Ikangaa.
Rest in Peace dada etu Kulwa Juma Ikangaa
Leo nasikitika kuwataarifu kuwa ndugu yetu Kulwa Juma Ikangaa (government name Beatrice Juma Ikangaa) amefariki dunia jana jumamosi. Msiba uko nyumbani kwa Mzee Juma Ikangaa Sinza kwa Remmy. Nawapa pole sana ndugu, jamaa na marafiki wa ukoo wa Juma Ikangaa.
Rest in Peace dada etu Kulwa Juma Ikangaa