Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Hahaha ushindwe
Umaarufu haufai,mbna jamaa kafanya kitu cha kawaida tu,ila watu wanavyotoa maoni negative!!!Hivi mtu ukiwa maarufu ndio unafanyiwa/unachambuliwa hivi na familia yako?
sitaki kuwa maarufu aisee,its an embarrassment!....
Ningepafaham hata anapokaa warah ningejitosa mzima mzimaHahaha ushindwe
Yuko kwenye zizi lingine kaolewa huwezi kumuweka hapo.Wangemweka na mama mtoto kwenye picha ingependeza
Mmeanza, mmeanza!Kama viberenge vinapita kila siku basi sgr inatumika, labda tu kama haviigusi reli.