Kamati ya roho mbaya naona mnajiwakilishaHizi ndoa za namna hii huwa na nuksi kwani hazidumu sijui kwanini!!! Nakumbuka huka nyuma kulikuwa na ndoa moja kati ya mtoto wa katibu Mkuu wa Rais wa wakati huo na mtoto wa waziri mmoja mstaafu; Ilikuwa ndoa ya shamra shamra na gharama kubwa kama hii lakini kwa basait mbaya haikuchukua hata miezi sita wakakorofishana dio ikawa bye bye wakagawana mbao!!!! Nawatakia kila lililojema hawa vijana wawili wasipatwe na balaa kama hilo!!!
Acha wivu. Tofautisha wanasiasa (pesa ya msimu) vs wafanyabiashara (pesa za wakati wote)Hizi ndoa za namna hii huwa na nuksi kwani hazidumu sijui kwanini!!! Nakumbuka huka nyuma kulikuwa na ndoa moja kati ya mtoto wa katibu Mkuu wa Rais wa wakati huo na mtoto wa waziri mmoja mstaafu; Ilikuwa ndoa ya shamra shamra na gharama kubwa kama hii lakini kwa basait mbaya haikuchukua hata miezi sita wakakorofishana dio ikawa bye bye wakagawana mbao!!!! Nawatakia kila lililojema hawa vijana wawili wasipatwe na balaa kama hilo!!!
Mzee unaongelea ndoa za namna hii lakini mfano wako mmoja?!Hizi ndoa za namna hii huwa na nuksi kwani hazidumu sijui kwanini!!! Nakumbuka huka nyuma kulikuwa na ndoa moja kati ya mtoto wa katibu Mkuu wa Rais wa wakati huo na mtoto wa waziri mmoja mstaafu; Ilikuwa ndoa ya shamra shamra na gharama kubwa kama hii lakini kwa basait mbaya haikuchukua hata miezi sita wakakorofishana dio ikawa bye bye wakagawana mbao!!!! Nawatakia kila lililojema hawa vijana wawili wasipatwe na balaa kama hilo!!!
Ndo ilikuwa kwenye send off ya huyu binti nini ambayo baba mtu alipiga marufuku wageni kuja na zawadi?!
S10+ or S10 5G?View attachment 1194789
Kwenye hiyo shareholding structure kuna sehemu unaona wachaga? Mbona wadanishi hawajajaa humo au watumishi kutoka ppf?
Kimei alikua mkabila hilo halina ubishi.
Mkuu simu unazijua kwa kuangalia screenshots? Balaa.S10+ or S10 5G?
Uzoefu tu mkuuMkuu simu unazijua kwa kuangalia screenshots? Balaa.
Nimekuogopa mkuu. Ni ten jumlisha.Uzoefu tu mkuu
askari mna mbwembwe dah!Sikupingi mkuu, asilimia kubwa ya employees wa charlie romeo delta bravo ni kina meko
hii ndoa inatutesa sana sisi WASUKUMA, okay one day yesSijaona hata ka funcargo, Daah acha tuzisake ngawiraView attachment 1194306View attachment 1194308View attachment 1194309View attachment 1194310View attachment 1194311
Inawatesaje?hii ndoa inatutesa sana sisi WASUKUMA, okay one day yes
Tuaniamini sisi ni kila kitu , ila tumechukua sehemu zote nyeti na bado tu washamba tu, tume prove failure, i think htuna exposure
Tuaniamini sisi ni kila kitu , ila tumechukua sehemu zote nyeti na bado tu washamba tu, tume prove failure, i think htuna exposure
Msukuma mwenzako kaonyesha ushamba wa hali ya juu, kaenda ziara Selou kakuta hoteli ya kitalii chumba usiku mmoja milioni tatu eti anaagiza TAKUKURU NA TRA wachunguze, wtf, yani hajui kabisa na hana exposure, aende Arusha akaone hoteli milioni 6 na wachagga wanalala, mna ushamba sana, angalia kangi lugola na wenzakeWasukuma exposure tunayo bagheshi tatizo sio watu wa showoffs ndio maana huwezi kuta harusi zetu zina publicity kiivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana sifa za kuajiriwa.Halafu kuna usemi unasema charity begin's at home.Mimi Kimeo simpendi kwa legacy yake ya ukabila pale crdb. Kuajiri 80% ya wafanyakazi kutoka kaskazini kwenye nchi yenye makabila zaidi ya 120 hana cha kumpongeza.
Sema inakutesa wewe sisi harusi zetu ni BUKOMBE basi!hii ndoa inatutesa sana sisi WASUKUMA, okay one day yes
Inakutesa wewe, sisi wa-fipa tunafunga kimila, hatuna mambo ya kishamba kama ninyi mnalala na suti na viatu wiki nzima kabla ya harusiSema inakutesa wewe sisi harusi zetu ni BUKOMBE basi!
Wewe ni mchaga naona unatuchokoza wasukuma. Nitamwacha dada yako!Msukuma mwenzako kaonyesha ushamba wa hali ya juu, kaenda ziara Selou kakuta hoteli ya kitalii chumba usiku mmoja milioni tatu eti anaagiza TAKUKURU NA TRA wachunguze, wtf, yani hajui kabisa na hana exposure, aende Arusha akaone hoteli milioni 6 na wachagga wanalala, mna ushamba sana, angalia kangi lugola na wenzake