PRECIOUSDOE
Senior Member
- Feb 3, 2009
- 114
- 12
Hayo ndiyo madhara ya kufanywa fanywa hovyo hovyo kama kuku. Ni yamkini hajui hata baba wa kweli ni yupi. Pia inawezekana anajua lakini kwa ulafi wake anaona poa kuchanganya watu akili.
Ni mbaya sana kulea mtoto ambaye unadhani ni wako kumbe ukweli wa mambo si wako. Oh wait...nilisahau....wanawake ni wema sana na hawawezi kufanya kitu kama hicho. Jamaa kachanganyikiwa tu.
Some advise....:sick:
The lady should just come clean and fess up. Why lie about your own child? To me that is complete and utter foolishness. She should just fess up and deal with the aftermath like a grown woman that she thinks she is because lying ain't gonna get her anywhere.
Nyani, nafikiri unakuwa mkali sana then hutoi ushauri, hapa mdada anaomba ushauri wa kumsaidia huyu ndugu... tatizo limeshatokea, hasomi messages za JF, so hata ukisema vp hapati ujumbe... Mshauri jamaa aachane na huyo mtoto au akapime DNA
Ubarikiwe sana
Dada Askofu, nadhani unanisoma vibaya. Sawa, tatizo limeshatokea. Sasa ili kuondoa utata njia pekee iliyobaki ni kwenda kupimwa damu tu. Na hili wala mtu huhitaji ushauri kwa kweli labda uniambie huyo mdada/ mkaka hajui kuhusu uwepo wa uwezekano huo.
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Teh teh teh....vipi tena?