Wekeni taarifa kamili jamani, JF inahadhi kubwa sana si ya kureport mambo kwa namna hii, wekeni mambo wazi, kwamba baada ya juhudi hizi na zile, tumefanikiwa kumpata mtoto ktk mazingira haya, na hali yake iko hivi na vile, bado tunaendelea kufatilia gari ama kitu gani sijui, sio mbaya mkasema mmefanikiwa hayo kwa msaada wa ima Polisi au Raia mwema.
Vile vile taarifa zenu ziwe zina baraka ya Kamanda wa Polisi ktk eneo lenu au mtu yeyote wa serikali ili ziwe na nguvu kwetu. Maana nimeona hapo wengine wanasema picha zinatumwa na wahalifu.
Tunashindwa kuelewa kipi ni kipi...