Mtoto mzuri Ughaibuni

Mtoto mzuri Ughaibuni

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,200
Reaction score
11,350
Wakuu juzi kati nilipata safari ya kwenda mafunzo nje ya nchi -(Kwa wazungu), wakati nikiwa kule nikakutana na mtoto mmoja nilishakutana nae kwenye kikao hapa bongo, yeye huko ndiko kwao. Alikuwa ananitembeza sana nikimaliza tu mafunzo jioni ananipitia tunaenda maeneo tofauti tofauti. Na Bahati nzuri sana yeye alikuwa likizo. Tukitoka matembezi ananirudisha hadi hotelini kwangu hadi chumbani mida ya saa nne saa tano. Kuna baridi sana ila akitaka kuondoka alikuwa ananikumbatia na kunibusi shavu na kunambia take care John(Mfano wa jina) afu anaondoka.

Yule mtoto kweli ni mzuri - Aina Kama balozi wa Canada kwa walio muona leo.

Mwanamme nilikuwa Napata tabu ila nikawa najikaza kumwambia ukweli kwa misingi ifuatayo.
1. Je atanionaje kama nikimwambia nataka to-do? Si nitakuwa nimeliaibisha Taifa langu kwa kupenda mbunye.
2. Akikataa kabisa nitakuwa hari gani na kwa alivyo nikaribisha kwa bashasha na kunijari hivi.
3. Je hata wao ni kama hapa bongo - yaani akiingia gheto unaweza mtongoza huku ukimuangusha kitandani? Akipiga kelele nimembaka nitarudi je bongo?

Ilibidi nijikaze kisabuni tu.

Hapa ninapoandika kuna mchongo mwingine mwezi wa pili naenda huko na nimemutumia wasapu. jamani mnipe akili nifanye je ili niliwakilishe taifa langu vizuri huku nikiwa na huyo bibiye?
Je ananipenda hataki tu kunambia?

NB. Sitaki kusema sehemu nchi yenyewe kwa sababu mabosi wangu wanaweza wakawemo humu.
 
Wakuu juzi kati nilipata safari ya kwenda mafunzo nje ya nchi -(Kwa wazungu), wakati nikiwa kule nikakutana na mtoto mmoja nilishakutana nae kwenye kikao hapa bongo, yeye huko ndiko kwao. Alikuwa ananitembeza sana nikimaliza tu mafunzo jioni ananipitia tunaenda maeneo tofauti tofauti. Na Bahati nzuri sana yeye alikuwa likizo. Tukitoka matembezi ananirudisha hadi hotelini kwangu hadi chumbani mida ya saa nne saa tano. Kuna baridi sana ila akitaka kuondoka alikuwa ananikumbatia na kunibusi shavu na kunambia take care John(Mfano wa jina) afu anaondoka.

Yule mtoto kweli ni mzuri - Aina Kama balozi wa Canada kwa walio muona leo.

Mwanamme nilikuwa Napata tabu ila nikawa najikaza kumwambia ukweli kwa misingi ifuatayo.
1. Je atanionaje kama nikimwambia nataka to-do? Si nitakuwa nimeliaibisha Taifa langu kwa kupenda mbunye.
2. Akikataa kabisa nitakuwa hari gani na kwa alivyo nikaribisha kwa bashasha na kunijari hivi.
3. Je hata wao ni kama hapa bongo - yaani akiingia gheto unaweza mtongoza huku ukimuangusha kitandani? Akipiga kelele nimembaka nitarudi je bongo?

Ilibidi nijikaze kisabuni tu.

Hapa ninapoandika kuna mchongo mwingine mwezi wa pili naenda huko na nimemutumia wasapu. jamani mnipe akili nifanye je ili niliwakilishe taifa langu vizuri huku nikiwa na huyo bibiye?
Je ananipenda hataki tu kunambia?

NB. Sitaki kusema sehemu nchi yenyewe kwa sababu mabosi wangu wanaweza wakawemo humu.
Ongea nae taratibu. Mwombeni msamaha mwambie kama utakwaza akusamehe,wambie I love you. Hao wanakuwa open. Kumtongoza sio sababu ya yeye kuvunja urafiki.
 
Ongea nae taratibu. Mwombeni msamaha mwambie kama utakwaza akusamehe,wambie I love you. Hao wanakuwa open. Kumtongoza sio sababu ya yeye kuvunja urafiki.
Nimewaza hivyo ila napata shida sana kuyakubari matokeo hasa yakija mabaya.
 
Jiamini .kama unashindwa physical tumia hata simu. Yakiwa mabaya itakuwa ni ajali kazini
Sina uoga kaka. Ila si unajua kule ugenini njia ya kurudi bongo ni moja tu, ukikosea imekula kwako. Kuna rafiki yangu amenambia ni mununulie ua afu nimpatie sijui atakubari? Ini case unajua.
 
Sina uoga kaka. Ila si unajua kule ugenini njia ya kurudi bongo ni moja tu, ukikosea imekula kwako. Kuna rafiki yangu amenambia ni mununulie ua afu nimpatie sijui atakubari? Ini case unajua.

hehehehhee mbombo ngafu..kwamba " ini case..."
 
Yani kitendo chakukubali tu kua uko nje ya Tz mungu ataniingezea zambi

Hii chai ongeza majani ili iwe dawa
Hii sio chai mkuu. hii ni kweli kabisa. Nipe tu maujuzi ili safari hii nisiwe na kigugumizi tena. Siku izi nikimwandikia I miss you anasema me too.. sijui ndio kashaingia line hivyo?
 
Sina uoga kaka. Ila si unajua kule ugenini njia ya kurudi bongo ni moja tu, ukikosea imekula kwako. Kuna rafiki yangu amenambia ni mununulie ua afu nimpatie sijui atakubari? Ini case unajua.
Hao Wazungu ni binadam kaka unawza mtongoza tuu. Usihofu kabisa. Mwambe kama ataweza kuwa mvumilivu na pia akusamehe. Ila wao hawa wanatoa jibu siku hiyo hiyo. Akikwambia no it means no . Sio kama wabongo anasema no huku anataka. Ila lazima ujue kama yupo single kama ana MTU wake achana nae. Wazazi wa Akina Obama waliweza kudate kipindi hicho kuna ubaguzi wa rangi . Now things has changed na ubaguzi umepungua. Mi naona haina shida
 
Mi nimekosa usingizi nimeingia jf nakutana na nyuzi za uongo kama hizi

bora nilale huenda ntaota na do na mexico sweetheart
 
Mi nimekosa usingizi nimeingia jf nakutana na nyuzi za uongo kama hizi

bora nilale huenda ntaota na do na mexico sweetheart

nazima data na log out ova
 
Hao Wazungu ni binadam kaka unawza mtongoza tuu. Usihofu kabisa. Mwambe kama ataweza kuwa mvumilivu na pia akusamehe. Ila wao hawa wanatoa jibu siku hiyo hiyo. Akikwambia no it means no . Sio kama wabongo anasema no huku anataka. Ila lazima ujue kama yupo single kama ana MTU wake achana nae. Wazazi wa Akina Obama waliweza kudate kipindi hicho kuna ubaguzi wa rangi . Now things has changed na ubaguzi umepungua. Mi naona haina shida
Asante kwa kunitia moyo asee. Vipi eti wenyewe hawatongozewi chumbani hadi muwe kwenye open space ama mgahawa?
 
Wakuu juzi kati nilipata safari ya kwenda mafunzo nje ya nchi -(Kwa wazungu), wakati nikiwa kule nikakutana na mtoto mmoja nilishakutana nae kwenye kikao hapa bongo, yeye huko ndiko kwao. Alikuwa ananitembeza sana nikimaliza tu mafunzo jioni ananipitia tunaenda maeneo tofauti tofauti. Na Bahati nzuri sana yeye alikuwa likizo. Tukitoka matembezi ananirudisha hadi hotelini kwangu hadi chumbani mida ya saa nne saa tano. Kuna baridi sana ila akitaka kuondoka alikuwa ananikumbatia na kunibusi shavu na kunambia take care John(Mfano wa jina) afu anaondoka.

Yule mtoto kweli ni mzuri - Aina Kama balozi wa Canada kwa walio muona leo.

Mwanamme nilikuwa Napata tabu ila nikawa najikaza kumwambia ukweli kwa misingi ifuatayo.
1. Je atanionaje kama nikimwambia nataka to-do? Si nitakuwa nimeliaibisha Taifa langu kwa kupenda mbunye.
2. Akikataa kabisa nitakuwa hari gani na kwa alivyo nikaribisha kwa bashasha na kunijari hivi.
3. Je hata wao ni kama hapa bongo - yaani akiingia gheto unaweza mtongoza huku ukimuangusha kitandani? Akipiga kelele nimembaka nitarudi je bongo?

Ilibidi nijikaze kisabuni tu.

Hapa ninapoandika kuna mchongo mwingine mwezi wa pili naenda huko na nimemutumia wasapu. jamani mnipe akili nifanye je ili niliwakilishe taifa langu vizuri huku nikiwa na huyo bibiye?
Je ananipenda hataki tu kunambia?

NB. Sitaki kusema sehemu nchi yenyewe kwa sababu mabosi wangu wanaweza wakawemo humu.
Kwanza beba vibendera vile vidogo wanavyopeperusha kweny cku ya muungano ,ukifka hotelin chomeka kweny kona ya kitanda,..afu akija wakat wa kuku hug na kukukisi simama naye karbu na kitanda afu utashuka naye mzima mzima mpaka chin
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom