mtoto mashalaah

mtoto mashalaah

mbona kama nimemuona lemutuz hapo juu
 
Last edited by a moderator:
Mkia upo ingawa sijui ni Mchina?

Tatizo ni kuwa kafanana sana na Baba yake.

Anaitwa nani vile? Wengine sisi washamba wa Sikonge.
 
Amejaaliwa nguv za kike ila asizitumie vibaya
 
Ndege wafananao huruka pamoja, naona LeMutuz na wenzake...😛eep:
 
Yesuuuuu Le Mutuz anafaidi au mshika pembe?
 
Hili Kota la huyu agnes limetangazwa mpaka nimelikinai
Before dah akili ziliniruka lakini promo ilipozidi now days naona kama lakichina tu
Tena maeneo ya tandale wapo watoto kibao wana mikia kama ya huyu yamala!!👋
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom